Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marijani Rajabu, alikua mzaramo sio mzazibar.mwimbaji ni Mzanzibar nadhani anaitwa Marijani Rajab
Wimbo wa sikinde huo, ninayo ila jinsi ya kuiweka hapa, nawe ukaipata siwezi.Maombi ya kutaka turudiane nimesikia unalalamikaaa. maisha kuishi na wanangu etii huyawezi.kurudiana na wewe siweez , nimeoa mke mwingine ninaishi naye.
Naitafuta hiyo nyimbo mkuu.
Pia penzi kizungumkuti
hiki ni kipaji cha kigoma kama kawaida, alikuwa pale Tambazamwimbaji ni Mzanzibar nadhani anaitwa Marijani Rajab
Kuna ndugu zake walikua wanatokea huko kisiju, nikajua ni mzaramo.Marijani Rajabu ni mmanyema ila amezaliwa na kukulia Gerezani,Kariakoo
Mimi kwangu ina downloard kirahisi sana, labda ya sababu kifaa unachotumia.Mkuu mbna najaribu kudownload znagoma
Mkuu naomba nyimbo hiziSorry ni Mbaraka mkuu
Zaa kidhungu unazo pia mkuuMkuu huu ni mwaka wa pili natafuta wimbo wa
Pig black - Nini mnataka
Vipi unao?
Acha hizo wewe, ungeanza na wale wanauza nyimbo kwenye computer, hapa sisi tunapeana kama wanafamilia tu, asie mwana forums anapataje nyimbo hizi.Mkuu kitu unachofanya ni kosa kisheria. Umekiuka sheria ya Hakimiliki. Hata wanao-download hizo nyimbo wanafanya makosa. Wanawanyima watunzi, wanamuziki na wamiliki wa nyimbo hizo fursa ya kujipatia kipato kupitia kazi zao. Najaribu kuelemisha tu, angalau tutambue kuwa kinachofanyika ni kosa. Labda unihakikishie kuwa wenye nyimbo hizo wamekupa leseni ya kufanya hivyo.