Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kwangu ina downloard kirahisi sana, labda ya sababu kifaa unachotumia.
Mfano huyo wimbo wa mzee Mwinamila, na bicko star, nenda gonga kwenye alama ya Download kuna rangi ya blue, itaserch alafu yatatokea maandishi ya seve na censel chagua seve, iache rudi jamii itafute kingine unachota kukiona. Hapa unaweza pakia nyimbo unazo taka zikaendelea zenyewe wewe unafanya shuhuri zingine.Mi natumia simu mkuu
Mimi nimetoa tu angalizo na elimu. Leo ni wanamuziki wanaumia kesho itakuwa wewe na kitabu chako au ndugu yako na software/App yake. Tusaidiane kutoa elimu kwa hao wanaouza nyimbo kwenye computer-wengi wao hawajui kama wanafanya makosa, kama wewe tu.Acha z
Acha hizo wewe, ungeanza na wale wanauza nyimbo kwenye computer, hapa sisi tunapeana kama wanafamilia tu, asie mwana forums anapataje nyimbo hizi.
0766728326. WhatsApp mkuuWimbo wa sikinde huo, ninayo ila jinsi ya kuiweka hapa, nawe ukaipata siwezi.
Nimekuelewa ndugu yangu, hivi hao wanamziki wanaoumia sisi kurushiana nyimbo, je wameandaa mazingira rafiki ya sisi kununua nyimbo tunazozihitaji, hususani hizi za zamani. Maana tusiwe tunanyima sisi, lakini wengine wakirushiana kwa njia hizi hizi unazozipinga.Mimi nimetoa tu angalizo na elimu. Leo ni wanamuziki wanaumia kesho itakuwa wewe na kitabu chako au ndugu yako na software/App yake. Tusaidiane kutoa elimu kwa hao wanaouza nyimbo kwenye computer-wengi wao hawajui kama wanafanya makosa, kama wewe tu.
Nadhan hata wao wanakosa uelewa wa haki zao hasa wanamuziki wa zamani na warithi wao (maana wengi wametangulia mbele ya haki). Kazi ya msanii inalindwa na sheria ya hakimiliki hadi miaka 50 baada ya kifo cha msanii au msanii wa mwisho kufa kama kazi ilifanywa na kundi/bendi. Hiki kitu sio wengi wanakifahamu.Nimekuelewa ndugu yangu, hivi hao wanamziki wanaoumia sisi kurushiana nyimbo, je wameandaa mazingira rafiki ya sisi kununua nyimbo tunazozihitaji, hususani hizi za zamani. Maana tusiwe tunanyima sisi, lakini wengine wakirushiana kwa njia hizi hizi unazozipinga.
Unatumia Browser Gani??? kama unatumia Safari na Iphone kwa Ujumla hutoweza kudownload, Tumia Chrome ama Opera.Mkuu mbna najaribu kudownload znagoma
Shakaza Ipo Kule kwa Blog yetu MkuuMkuu naomba nyimbo hizi
1. Shakaza wa EDDY SHEGGY
2. Mwaileta Ndulile wa Mzee Muinamila na Bicco Stars
Usijali kama Mambo yakikaa sawa utazipata maana hizi nyingi zina "HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA"Tupien na za gospel
Ha ha ha haa Mtoto wa KariakooMarijani Rajabu, alikua mzaramo sio mzazibar.
Usijali Mkuu tatizo Muda, nkipata Muda ntazipandishaMkuu weka nyimbo ya Monisandesa hapa, unaitwa shida haibishi hodi, wimbo wa vijana, mama ninapokula anisema, na wanaupendana siku zote hufa wangali vijana (Chiku). Kuna wimbo wa Banza Stone, siujui jina ila kuna sehemu anaimba: siku ya kufa kwake atamuomba Mungu apate kuwasikia watu wanasema nini kuhusu kifo chake. wimbo kiyongo band siikumbuki.
Kwanza Mkuu hakuna hicho kitu kinachoitwa HAKIMILIKI hapa bongo maana ingekuwepo mpaka leo Hawa wazee wangekua na Maisha mazuri mno, na Kingine ni kwamba nyimbo hizi zipo kwenye servers tofauti tofauti huku mitandaoni hivyo mimi nimefanya kuzikusanya pamoja ili kurahisisha mambo. Je Mdundo.com ni nani kawapa Ruhusa yakusambaza hizi ngoma za kale????
Unatumia Browser Gani??? kama unatumia Safari na Iphone kwa Ujumla hutoweza kudownload, Tumia Chrome ama Opera.
FireFox kwa Mobile ama PC?? maana zote zinafanya kazi Mkuu tena One click. Jaribu ChromeNatumia Firefox ila inazngua
FireFox kwa Mobile ama PC?? maana zote zinafanya kazi Mkuu tena One click. Jaribu Chrome