patrick80
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 737
- 607
Mkuu uƙitaka uninase nipigie zilipenɗwa rhumbaHizi zikipigwa hata leo bado zinavutia... Lakini piga wimbo wa DuduBaya "Nakupenda tu jinsi ulivyo" uone kama utakuwa na hamu ya kuusikiliza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uƙitaka uninase nipigie zilipenɗwa rhumbaHizi zikipigwa hata leo bado zinavutia... Lakini piga wimbo wa DuduBaya "Nakupenda tu jinsi ulivyo" uone kama utakuwa na hamu ya kuusikiliza...
Haha..
Aseeh kumbe toka ukiwa kinda ulikuwa hukamatiki.
Utakomaje sasa
Leo serikali inaƙimɓizana na wavaa vimini wakati walikuwepo tangu masantura wapo au kamanƴolaView attachment 680968
Kasinde ni huyo wa nyuma aliyevaa teremka tuzozee. .....
Aaahahahahahhahahahahahaaa Asprin Matataaa hehehehehheee nakuona enzi zako six pack zimejipanga hapana chezea Big Sam.
Mmmuuaaahhhhh! !
Hahahahahahahahaa Kasie Motoo wa siku nyingii basi tuu wakati ukuta ila kuruka majoka bado niko palepale sijaacha.
Mkuu uƙitaka uninase nipigie zilipenɗwa rhumba
Nilikuwa sivumi lakini nimooo
![]()
Naona sasa mmeacha kujadili zilipendwa zenu mnatusema.Hahahahahahaa hapo vifungo vya juu vimeachwa wazi kuonesha love garden hehehehhehe
Enzi zile hakukuwa na gym ila six pack zilikuwa available.
Hahahahahahaa hapo vifungo vya juu vimeachwa wazi kuonesha love garden hehehehhehe
Enzi zile hakukuwa na gym ila six pack zilikuwa available.
Naona sasa mmeacha kujadili zilipendwa zenu mnatusema.
Kwa hiyo siku hizi tunakesha gym na 6packs hatuna
Nakukubali kwenye kuyaruka majokeriiiiHahahahahahahahaa kuruka majoka ilikuwa ndo za Kasie hizoo.
Kalubandika unaujua??Kuna wimbo wa maquiz og unaitwa mpenzi rutha mtunzi ni audax mtombo.Huo wimɓo nikiusikilizaga na pata 2 lazima ziwe 3
Naona sasa mmeacha kujadili zilipendwa zenu mnatusema.
Kwa hiyo siku hizi tunakesha gym na 6packs hatuna
Nakukubali kwenye kuyaruka majokeriiii
![]()
Bora umbembeleze maana akienda kuwaamsha wale jamaa zake, hakuna rangi hatutaacha kuiona...Haaahahahahhahahaa hapana banaaaa hatuwasemi hataa heheheheh