Salama wakuu.....Ni wikiendi nyingine baada ya muda mrefu wa kuwa kimya.....Leo nimewakumbuka TANCUT Almas Band, wana Fimbo Lugoda....Kinye kinye kisonzi,tisa kumi mangala...Musendemule......Mangala Dansi
Leo ngoja tujikumbushe na baadhi ya vibao vyao vilivyotamba enzi hizo,kwa kuanzia tuanze na kitu
Jejee Lutandila
E wasaa.......
Ujumbe wangu kama umeupata Jejee,
ujumbe wangu kama umeupata fanya haraka Jejee,
Jejee Lutandila rudi nyumbani baba,
Nimetuma barua hata majibu wala sipati mamaa,
Sasa ni miaka kumi na mbili Jejee Lutandila aaa..
Ujumbe wangu kama umeupata Jejee,
ujumbe wangu kama umeupata fanya haraka Jejee,
Jejee Lutandila rudi nyumbani baba,
Nimetuma barua hata majibu wala sipati mamaa,
Sasa ni miaka kumi na mbili Jejee Lutandila aaa..
Jejee.......Lutandila...
Jejee Jejee Lutandila,mwanangu Jejee Jejee Lutandila,
Mimi mama yako sina wa kunitunza,baba yako amekwishafariki mama,
Ninayemtegemea kwa sasa ni wewe Jejee,ewawaa..
Jejee Jejee Lutandila,mwanangu Jejee Jejee Lutandila,
Mimi mama yako sina wa kunitunza,baba yako amekwishafariki mama,
Ninayemtegemea kwa sasa ni wewe Jejee,ewawaa..
Maisha magumu kila kitu ni pesa Jejee,nimekuwa na ukiwa kama vile sijazaa,
Nakuwa ombaomba na watoto ninao, e wawaa Jejee Lutandila aaaaa, ewawaa
Maisha magumu kila kitu ni pesa Jejee,nimekuwa na ukiwa kama vile sijazaa,
Nakuwa ombaomba na watoto ninao, e wawaa Jejee Lutandila aaaaa, ewawaa....
Bridge...
Wanyalukolo eeeee
Musendemule....Musekuwine......E mangala......Musendemule....Musekuwine......E mangala
Chegela.....chegela...chegela e wasawasa....Chegela.....chegela...chegela e wasawasaaa....
E wasaaaaaaaaaaaaaaaaaa