johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CHADEMA leo amerejesha fomu za kugombea ZEC na kuahidi kuwa ataendelea na kinyang'anyiro hicho hadi siku ya Uchaguzi October 28, 2020.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kutegana Ni figisu za maccm tuHapo wametegana, member kawatega chadema bara, chadema wamewatega ACT zanzibar
Bwashee CCM inaingiaje hapo?!Hakuna kutegana Ni figisu za maccm tu
Hakika mkuu!Hivi vyama vya upinzania vinahitaji mafundisho na afu viundwe upya.
Vinasema tu afu havitekelezi, Vinaahidi kushirikiana afu haviwezi kushirikiana.
Hadi hapo vimeshindwa kupata dila sahihi ya nini kifanyike.
Tuviache pembeni kwanza hadi vikomae kiuongozi.
How can any logical person think we can survive another five years or more of that dude from the green?Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema leo amerejesha fomu za kugombea ZEC na kuahidi kuwa ataendelea na kinyang'anyiro hicho hadi siku ya uchaguzi October 28, 2020.
Source ITV habari!
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema leo amerejesha fomu za kugombea ZEC na kuahidi kuwa ataendelea na kinyang'anyiro hicho hadi siku ya uchaguzi October 28, 2020.
Source ITV habari!
Chadema huwa ni malaika ?,pathetic wewe na chadomo yakoTatizo ni Zitto na huyo kimbunga kumbakumbaaaa wake AKA Membe
Nililisema hili kuwa Lissu aliropoka na halikuwa na ridhaa ya chama, hapa na kwenye chama lazima wamtimueMgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema leo amerejesha fomu za kugombea ZEC na kuahidi kuwa ataendelea na kinyang'anyiro hicho hadi siku ya uchaguzi October 28, 2020.
Source ITV habari!
Ni wanaroho ya uchu na tamaa ilopitiliza,Hapo Kila mtu Ana lenga RUZUKU tu.Hivi vyama vya upinzania vinahitaji mafundisho na afu viundwe upya.
Vinasema tu afu havitekelezi, Vinaahidi kushirikiana afu haviwezi kushirikiana.
Hadi hapo vimeshindwa kupata dila sahihi ya nini kifanyike.
Tuviache pembeni kwanza hadi vikomae kiuongozi.
Itategemea amewasaidia kuingiza ruzuku kiasi gani baada ya uchaguzi. Ikipatikana ya kutosha anaweza kutimuliwa ili waitafune bila bughudhaNililisema hili kuwa Lissu aliropoka na halikuwa na ridhaa ya chama, hapa na kwenye chama lazima wamtimue
Chadema huwa ni malaika ?,pathetic wewe na chadomo yako