Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Kumbe miundo mbinu hujengwa na Chama?Tokea lini mambo hayo?Imeboresha miundombinu ya mawasiliano ndo maana wewe umeweza kuwa hapa kuwabeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe miundo mbinu hujengwa na Chama?Tokea lini mambo hayo?Imeboresha miundombinu ya mawasiliano ndo maana wewe umeweza kuwa hapa kuwabeza
Nafikiri hapo kakamilisha taratibu, huenda vinginevyo ingeleta SHIDA ktk ukamilishwaji wa taratibu
Hii ni mkakati. Ikitokea ZEC imemuondoa Maalim kwa maujinga kama ya huku Bara, basi Chadema ina endelea. Hamna mtu kupita bila kupingwa hapa
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CHADEMA leo amerejesha fomu za kugombea ZEC na kuahidi kuwa ataendelea na kinyang'anyiro hicho hadi siku ya Uchaguzi October 28, 2020.
CDM ni walaghai,walitaka kumuingiza chaka Maalimu Seifu!!Chadema wanajichanganya haaa