mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,459
WivuuMbona hakuna cha maana hapo...
hata mimi nimefanya sasa hivi, nimeenda huku kisha nikaenda kule kuhakiki.Daimond kamzidi kwa 822
Watazamaji ni walewale tu inaonyesha
Akiangalia huku anahamia huku
Ngoma iliyofanyiwa kampeni na promo la kutosha kila sehem vs ngoma iliyotoka kimya kmya bila promo wala kampeniOne artist vs wcb yote bado unataka seduce me iongoze view wakati zilipendwa wasanii ni weng
Wcb wana roho mbaya sana kulikuwa na haja gani ya kutoa nyimbo baada ya kusikia mwenzake katoa ili waizime hayo ndo malipo yakeNgoma iliyofanyiwa kampeni na promo la kutosha kila sehem vs ngoma iliyotoka kimya kmya bila promo wala kampeni
Kwani wakati mnashdadadia hmkujua kama ni WCB nzima? Baada ya kuanza kufunikwa ndo mnaomba pooOne artist vs wcb yote bado unataka seduce me iongoze view wakati zilipendwa wasanii ni weng
Bila promo hhhhDaimond kamzidi kwa 822
Watazamaji ni walewale tu inaonyesha
Akiangalia huku anahamia huku
Na ishaanza kupotezwa pamoja na kufanyiwa hilo kampeniWcb wana roho mbaya sana kulikuwa na haja gani ya kutoa nyimbo baada ya kusikia mwenzake katoa ili waizime hayo ndo malipo yake
Tulisahau kulike ngoja turudi!Like[emoji106] na dislike[emoji107] nazo naziona