Zima kiki washa mziki hatimaye Zilipendwa yaipiku Seduce me kwa views Youtube

Zima kiki washa mziki hatimaye Zilipendwa yaipiku Seduce me kwa views Youtube

Wcb wana roho mbaya sana kulikuwa na haja gani ya kutoa nyimbo baada ya kusikia mwenzake katoa ili waizime hayo ndo malipo yake
Wenye roho nzuri ni nyie mliomtukana mzazi wa mwenzenu matusi ya nguoni. Hopeless kabisa. Mungu anawatandika kofi. Huyo kibakuli wenu hawezi kutoboa. Mfyuuuu
 
Kwanza ukiangalia rate ya waliozipenda na kutozipenda hizo nyimbo still inaonyesha Seduce Me ipo juu
 
VEVO YA ALIKIBA NI PURE VIEWS NA YOUTUBE YA DIAMOND INARUHUSU MPAKA ROBOTIC VIEWS.
kipind mnaongoza maneno hayo hayakuwepo... Ila league imewashnda ndo mnaanza. Toka link msanii wa Africa mashark akashndana na msanii wa Africa
 
Wenye roho nzuri ni nyie mliomtukana mzazi wa mwenzenu matusi ya nguoni. Hopeless kabisa. Mungu anawatandika kofi. Huyo kibakuli wenu hawezi kutoboa. Mfyuuuu
Mlivosema shoga mlitegemea nini
 
Nadhani hao viewers wazilipendwa wameongezeka baada ya diamond kwenda kujiliza liza kwenye leo tena et atatembea kwa magoti hadi SA. Halafu siku nyingine usirudie kushindanisha kundi na solo artist.
 
Nadhani hao viewers wazilipendwa wameongezeka baada ya diamond kwenda kujiliza liza kwenye leo tena et atatembea kwa magoti hadi SA. Halafu siku nyingine usirudie kushindanisha kundi na solo artist.
hhhh vp promo yenu ya kile kibibi?
 
Jeshi la mtu mmoja ndo unalinganisha na ladha ya kikosi cha watu Saba?
Mbona mnampaisha Kiba wenyewe?
 
Back
Top Bottom