fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
tehtehtehteh muache mtoa thread asije akajiuaLike[emoji106] na dislike[emoji107] nazo naziona
Povuuuuuj [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwani walikatazwa kufanya kampeni...?
kweli miafrika ndivyo tulivyo!
Domo ana viewa zaidi ya 15M vevo so hakuna jipya na hizo ni sababu za kitoto mara sijui robot mara sijui nn kubali tu kuwa pumzi imekata.Je uliepost unajua tofauti ya vevo na yutubu
Nauliza kwann katika pitapita zangu nmesikia kuwa vevo haiwez kuwa robot wakati yutubu inaweza kuwa robot yaan vevo wako smart compared to yutubu
Mm ni timu wizikid
Nyani anacheka kundule unaijua hiyo methaliDiamond na mashabiki wake mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Diamond kanunua Views.
Yani kalipa hela YouTube ilazimishe watu watazame video yake.
Sisi hatunaga ubaya ndo maana hatukimbilii kwnd kutia dislike kwny nyimbo za kiba lkn nyie ngoma ikitoka tu ya domo mnakimbia kama manyumbu kwnd kujaza dislike yaani kati ya fans manyumbu nyie mnaongoza.tehtehtehteh muache mtoa thread asije akajiua
We jamaa utakufa si muda mrefu kwa roho mbaya!! Usikute ndo ninyi mmegraduate na hamjapata ajira mlivyo wajinga mnakaa kushindanisha wasanii, wao wana make mkwanja usikute tangu asubuhi hadi jioni upo tuu kwa runinga na kasmart phone kako ,kazi yako kuingia you tube na kuwapa mafanikio wenzio!!! Badilikeni hivi mnatofauti gani kati yenu na watoto wa chekechea???? Hivi wewe graduate unautumiaje muda wako OK SNA nia mbaya ila mwakani mwezi wa tano nitatoa nafasi za kazi kwa walimu wale tu walo soma coz ya bachelor degree in early childhood education ,acheni kibishana tengenezeni pesa ,kipind mnaongoza maneno hayo hayakuwepo... Ila league imewashnda ndo mnaanza. Toka link msanii wa Africa mashark akashndana na msanii wa Africa
Kwa hiyo kwa kuwa Alikiba katoa ndo wengine wasitoe? Wcb nikawaida yao kutoa mziki juu ya mziki! Tatzo ali kiba anataka abebwe eti aachiwe ngoma itrendi ha ha ha haa only in tzzzzWcb wana roho mbaya sana kulikuwa na haja gani ya kutoa nyimbo baada ya kusikia mwenzake katoa ili waizime hayo ndo malipo yake
Eeeh refa si alikua mange kimambi alipopataka mechi iishie ikaishia hapo hapo! Akili za wabongo izowoooi, mechi ilishaisha kitamboooo
One artist vs wcb yote bado unataka seduce me iongoze view wakati zilipendwa wasanii ni weng
Hakuna alokataza kampen; sasa hakuna vya sababu, IPI NGOMA KALI?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [HASHTAG]#kwa[/HASHTAG] kigezo cha viewers youtube?Kwani walikatazwa kufanya kampeni...?
kweli miafrika ndivyo tulivyo!
Read carefully btn lines then reply againKwa hiyo kwa kuwa Alikiba katoa ndo wengine wasitoe? Wcb nikawaida yao kutoa mziki juu ya mziki! Tatzo ali kiba anataka abebwe eti aachiwe ngoma itrendi ha ha ha haa only in tzzzz
EWAPE mzee baba,NYUMBU WA MANGE HAOOOOONyani anacheka kundule unaijua hiyo methali
Ok tufanye tumekubwli kuwa domo kanunua viewz, je kiba alifanyaje...
Kwa ufupi tu ni hivi,
Kiba pamoja na promo la kutosha kutoka kila sehem na kampeni ya kutosha ilofanywa na mange hakuona haitoshi alilipia vevo na akalipia instagram ngoma ikawa sponsored insta lakin kwa kuwa ww ni shabik mandaz hujaliona hilo.
Hakuna alokataza kampen; sasa hakuna vya sababu, IPI NGOMA KALI?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [HASHTAG]#kwa[/HASHTAG] kigezo cha viewers youtube?