Zimbabwe Vs Tanzania : Full Time Zimbabwe 3 Tanzania 0

Zimbabwe Vs Tanzania : Full Time Zimbabwe 3 Tanzania 0

Hapa ni kukosa utulivu tu ila hawa Zimbabwe wanafungika kabisa
 
Hapa ni kukosa utulivu tu ila hawa Zimbabwe wanafungika kabisa
Clear chance Sammata anampa kipa wao wametengeneza nafasi moja wamefunga

Sisi zaid ya moja ila hakuna goli
 
Hukuna mawasiliano kwenye foward ya Taifa Stars, alaf Samatta anapoteza sana pass, sijui ni uchovu ama ni nini.
 
Hukuna mawasiliano kwenye foward ya Taifa Stars, alaf Samatta anapoteza sana pass, sijui ni uchovu ama ni nini.
Kweli mkuu sijajua kocha amemchezesha sababu anacheza nje ya nchi au yuko kwenye kiwango kizuri

Sijajua mara ya mwisho kucheza pale Genk ni lini

Naona viungo wanajitaidi kidogo
 
Back
Top Bottom