Zimbabwe Vs Tanzania : Full Time Zimbabwe 3 Tanzania 0

Zimbabwe Vs Tanzania : Full Time Zimbabwe 3 Tanzania 0

Hamna mpira hapo... Taifa stars wanacheze kama watoto wa Tandika maghorofani.
 
Vijana wetu wamezidiwa kweli kweli, ubovu umehamia kwenye beki line yetu sasa.
Sijui Mkwasa anasubiri nin kumtoa Msuva na Maguri,
 
Zimbabwe wapo very active utadhani kuna kombe, taifa stars tutacheza kwa mnato sana.... Tumezoea kupigwa
 
Back
Top Bottom