Sidhani kama ccm wataruhusu mabadiliko makubwa ya katiba yenye uwanja huru kwa walio nje ya utawala.Basi bunge la katiba mpya unafaa kuwepo ,nakuombea kheri.Kama litakuja.
Siyo tu dini, huyu ni mrengo tofauti na CCM ya serikali hii. Huyu ni CCM isiyopenda mabadiliko. Ccm ya familia za the so callled waasisi.Binafsi nilikuwa namuona January kwenye hiyo nafasi ila tangu wadau wanitolee macho kuwa jamaa haitawezekana kutokana na dini, basi karata yangu nairusha kwa Nchimbi, hata nikititazama utendaji wake alipokuwa kiongozi wa UVCCM na jinsi anavyokijua chama, hapo naona kabisa anaweza kupata nafasi.
MwislamUnajua dini ya January?!
101%Una uhakika?
Nchimbi alishajiroga alipo mpinga Mwenyekiti na Rais JK haaminiki tena kwenye system. Pia kumbuka ni kati yawaliojimirikisha mali za CCM. Hivyo hawezi pita afanyekazi zingine tu.Binafsi nilikuwa namuona January kwenye hiyo nafasi ila tangu wadau wanitolee macho kuwa jamaa haitawezekana kutokana na dini, basi karata yangu nairusha kwa Nchimbi, hata nikititazama utendaji wake alipokuwa kiongozi wa UVCCM na jinsi anavyokijua chama, hapo naona kabisa anaweza kupata nafasi.
Nchimbi mwizi wa mali za CCM awe Makamo wa Rais??Kama mzee Mangula ni lazima apige vema basi sioni kikwazo kwa Nchimbi maana hao ndio walikuwa CCM kindakindaki, wanakijua chama na wakati wa uongozi wao hapakuwa na hizi habari za ukanda na MATAGA PRAISE TEAM.