Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

Basi bunge la katiba mpya unafaa kuwepo ,nakuombea kheri.Kama litakuja.
Sidhani kama ccm wataruhusu mabadiliko makubwa ya katiba yenye uwanja huru kwa walio nje ya utawala.

Na wakiruhusu vipengele vingi vitakuwa vya kufaidisha waliopo madarakani maana upinzani una nguvu sana kwenye mazingira huru ya siasa.

Hapa ni kusali tu Ccm yenye utu iwe madarakani maana ccm itaendelea kuwepo madarakani.
 
Binafsi nilikuwa namuona January kwenye hiyo nafasi ila tangu wadau wanitolee macho kuwa jamaa haitawezekana kutokana na dini, basi karata yangu nairusha kwa Nchimbi, hata nikititazama utendaji wake alipokuwa kiongozi wa UVCCM na jinsi anavyokijua chama, hapo naona kabisa anaweza kupata nafasi.
Siyo tu dini, huyu ni mrengo tofauti na CCM ya serikali hii. Huyu ni CCM isiyopenda mabadiliko. Ccm ya familia za the so callled waasisi.
 
Binafsi nilikuwa namuona January kwenye hiyo nafasi ila tangu wadau wanitolee macho kuwa jamaa haitawezekana kutokana na dini, basi karata yangu nairusha kwa Nchimbi, hata nikititazama utendaji wake alipokuwa kiongozi wa UVCCM na jinsi anavyokijua chama, hapo naona kabisa anaweza kupata nafasi.
Nchimbi alishajiroga alipo mpinga Mwenyekiti na Rais JK haaminiki tena kwenye system. Pia kumbuka ni kati yawaliojimirikisha mali za CCM. Hivyo hawezi pita afanyekazi zingine tu.
 
Kama mzee Mangula ni lazima apige vema basi sioni kikwazo kwa Nchimbi maana hao ndio walikuwa CCM kindakindaki, wanakijua chama na wakati wa uongozi wao hapakuwa na hizi habari za ukanda na MATAGA PRAISE TEAM.
Nchimbi mwizi wa mali za CCM awe Makamo wa Rais??
 
Makamu wa Rais hatakiwi kuwa mbunge; Dr. Bilal, Samia hawakuwa wabunge.

Vv
 
Tatizo ni kwamba VP hana nguvu yoyote ya kimaamuzi. Actually Waziri Mkuu ana nguvu kuiko VP. Ndiyo maana hii nafasi imekaa ki ceremonial ceremonial. Kazi yake kuttembea na mikasi tu! Hana kazi nyingine! Sasa sijui kwa nini mnamwazia sana? Au mnamdharau Mh Mama Samia? Mnachukulia poaee? Oohoo. Shauri yenu!
 
Back
Top Bottom