Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua