Ife mara moja...sio sababu ya kweli. Labda Escrow. Tukiiendekeza majangili wataitwaa nchi maana watu wote wenye uwezo watakuwa sio raiaHii tabia ya kuwasingizia watu kama sio watanzania baada ya kukorofishana na serikali ni too much!
Mtu mpaka amekuwa jaji alipitaje huko nyuma?
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro
Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.
2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.
3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.
Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.
TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Refer gen.ulimwengu na Bashe...ukiwa against ndio unakuwa sio raiaHii tabia ya kuwasingizia watu kama sio watanzania baada ya kukorofishana na serikali ni too much!
Mtu mpaka amekuwa jaji alipitaje huko nyuma?
Petro unaniangusha, leta na wewe data zako ili tujue unatetea nini? au kwa sababu ni wa tasnia ya sheria asisemwe??Ukweli usio na uthibitisho nao ni ukweli? Porojo ulizoandika,mzushi yeyote kama wewe anaweza kubwabwaja hivyo. Kiwanda cha uongo!
Wewe unashupalia suala la ukanushaji wa habari kama hizo kwa povu bila ya kutoa utetezi wenye manufaa. Ninakuwa nina wasiwasi na uchangiaji wako unavyofanana na watetezi wa hoja za wauza madawa ya kulevya. Haya ya hoja za utetezi wa nguvu na povu, umetokea sana hasa mambo ya msako wa wauza ngada ulivyoanzishwa rasmi.Ukweli usio na uthibitisho nao ni ukweli? Porojo ulizoandika,mzushi yeyote kama wewe anaweza kubwabwaja hivyo. Kiwanda cha uongo!
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro
Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.
2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.
3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.
Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.
TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Endelea kufukunyua mkuu yapo mengi mengine...Kwenye escrow walikuwa Majaji Wawili Huyo Mujulz na Mwngine nadhan alikuwa prof km sikosei. Kwanini atolewe huyu mmoja tu?
Hata hvyo hawajajiuzulu kwa kupenda. Endelea kufuatilia hili sakata utaonaKama makosa ni hayo kwa nini serikali haikuwawajibisha inasubili wajiuzuru!!????????
Kwanini tulalie kwenye maoni ya wanachadema ilhali waliong'atuka walikuwa watumishi wa umma ambao mishara yao inatokana na kodi zetu pasipo kuangalia mrengo au ufuasi wa chama?!chadema wanasemaje juu ya hili...
I think you would better construe the argument I raised, which is well anchored in media, and particularly JF philosophy. Yours is such parotic notion. In the media fraternity the term fake doesn't equally mean undisclosed/concealed identity for security reasons.Fake from true identity ...it is not real...ungeza kimo kidogo cha uelewa wako utakuwa confortable
Kama ni mgonjwa kwa nini hawajaeleza ni kwa sababu za ugonjwa? Labda ipo sbb nyingine tuMkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.
Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Kwani umeambiwa wakijiudhuru sheria inakuwa neutral dhidi yao?Sasa kama ni hivyo kwa nini hawakukataliwa kuachia ngazi ili badala yake wakamatwe, Washitakiwe ili sheria ichukue mkondo wake?
waameambiwa wachague moja! kujiuzulu wenyewe na kuwa huru kabisa au wakamatwe washitakiwe wadhalilike na kufungwa kwa miaka mingi. Wamechagua kujiuzulu!Sasa kama ni hivyo kwa nini hawakukataliwa kuachia ngazi ili badala yake wakamatwe, Washitakiwe ili sheria ichukue mkondo wake?
Ngushi.....Hii tabia ya kuwasingizia watu kama sio watanzania baada ya kukorofishana na serikali ni too much!
Mtu mpaka amekuwa jaji alipitaje huko nyuma?