Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Tatizo la huyu mungu wao wanataka kutuaminisha kila kitu yupo sawa khs jaji msuya huyu ndugu yetu tu najua alikuwa anaumwa...
 
we fala mtoa mada si bure umetumwa na magu kupotosha..huna mashiko unakurupuka kuandika upuuzi wako tu
 
Hii tabia ya kutusingizia wazawa wa Kagera kutokuwa raia muache mara moja. Kupakana na nchi nyingi sio sababu ya kutushuku na kutuzushia.
Ni kama vile wachagga wanavyosingiziwa wazawa wa JRO ni waizi...inatuumiza lakini basi tu.
 
lakini wale wapakistani wa madawa ya kulevya aliwapa dhamana kwa nini na state attoneys wakisema wabaki ndan kwa sababu wangetoroka. lazima alipiga mpunga huyu. mtaani wapo wanamjua huyu jaji.
Kwanini rufaa haikukatwa? Mkuu,usiamini porojo.
 
Utawala kiboko huu. Watu wanaisoma namba na kuachia ngazi wenyewe bado wanapropaganda mnawawahi na kuwavisha ufisadi haraka haraka ili wasipate fursa ya kung'aa mbele ya jamii kwa kuwa na misimamo yenye dalili za utofauti.

Kama sio propaganda hii basi tuelezwe kama serikali itawafikisha mahakama ya mafisadi au sheria imeanza kutazama sura siku hizi?
 
Kwanini tulalie kwenye maoni ya wanachadema ilhali waliong'atuka walikuwa watumishi wa umma ambao mishara yao inatokana na kodi zetu pasipo kuangalia mrengo au ufuasi wa chama?!
nauliza hilo kwa sababu huwa wanaforce kupinga kila kitu bila kujali ni chema au kiovu...
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Chanzo cha ndani ndio nini? Acha unazi
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Ukiwa mgonjwa kwa muda mrefu unaomba kustaafu kwa sababu ya kiafya. Jopo la madaktari (Medical Board) huundwa kukuchunguza na kutoa recommendations zake. Likiona kuwa kweli afya yako hairuhusu (unfit) kuendelea na ajira yako kwenye utumishi wa umma, basi mamlaka husika inakustaafisha na kulipwa haki zako zote pamoja na pension yako ya uzeeni.

Kujiuzulu kazi ni suala tofauti. Mtumishi kwa sababu yake yo yote ana uhuru wa kuacha kazi. Atatoa notisi ya mwezi mmoja au ya masaa 24. Akitoa notisi ya masaa 24 anawajibika kumlipa muajiri wake pesa inayolingana na mshahara wake wa mwezi mmoja (in leu of the one month notice). Kwa vyo vyote vile mtumishi aliyejiuzulu kazi ana forfeit haki zake zote pamoja na pension yake ya uzeeni. Kwa hiyo hatutegemei kuwa wamefanya haya kwa hiari yao.

Hawa hawakustaafu. Wamejiuzuru na hivyo kupoteza haki zao zote baada ya kulitumikia taifa hili miaka mingi. Hawakustaafu kwa sababu ya umri wala ya kiafya. Lazima wanakabiriwa na tatizo kubwa la kikazi.
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
[emoji106] [emoji106]
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Huyu mama ni rafiki yangu wa karibu... ni kweli kaachia ngazi shauri ya ugonjwa
 
habari za uhakika kivp? au
kwa kua umesema niuhakika?

kuna kitu nyuma ya habari hii.
 
Acha tu waachie ngazi wenye sifa washike usukani.Alafu tupunguze kulaumu si wameomba kuacha kazi wenyewe au wameonewa?
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Unafahamu taratibu za kumuondoa jaji ofisini?
 
Sasa kama ni hivyo kwa nini hawakukataliwa kuachia ngazi ili badala yake wakamatwe, Washitakiwe ili sheria ichukue mkondo wake?
Huyu ni muongo tuu,ni wale wanaofikiri kila kitu rais anajiamulia tuu,utawasikia hata kesi ya Malima Magufuli anahusika.Wanaboa mmoja niko naye nyumbani anaonesha chuki kubwa na watu waliokuwa serikali ya Kikwete,nimemuuliza sababu anadai walim..t..omba hawakumlipa.
 
Back
Top Bottom