Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Ukiachana na mapungufu ya uwasilishwaji wa taarifa hii, hizi tetesi ni kweli na ubayana upo ndani yake.

Kujihudhuru kwa hawa watumishi ukiangalia kwa jicho la ndani, ilikuwa sio rahisi kuwajibishwa na mamlaka kuu.

Watumishi hawa walikuwa directly attached na familia kuu iliyopita, haijarishi ni katika uhusika upi ama tuhuma gani...

Tuunganishe Clue,
Mecky ni rafiki na swahiba mkuu wa ile familia.
Jaji mpare alishinikizwa na familia kuu kuwapa dhamana wale wapakstani(mengine sitaingia kiundani) kisha wakasepa, make ile familia ilihusika na yale makitu.
Jaji mhaya ni kweli alihongwa na Ruge kwenye kashfa ya Escrow ambayo vilevile familia kuu ilihusika kwenye ukwapuaji wa yale madola...
Mzee Magu, hata angekoroma vipi na mikwara yake ila ipo wazi isingekuwa uamzi wa ghafla wa mwenye nyumba aliyepita, leo hii makazi yake yasingekuwa pale jumba kuu.

Kila mbabe ana mbabe wake.
Msifungue ya uvunguni, mnamuaibisha bwana mbabe...
 
Kwa mujibu wa mtoa taarifa anadai kwamba Source ya habari hizi ni chanzo cha ndani. Chanzo cha ndani ya papuchiiii au dushe?
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Sorry tunaweza kupata na taarifa za ndani kabisa kuhusiana na bash boy? Plz assist
 
Nasubiri tamko la mkuu ktk hili, Atazungumza llte ama nDio ATAPIGA chiniii km Issue ya Bashite..
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Unajua lolote kuhusu kesi zake za mihadarati?
 
Sawa, kama taarifa hizi ni za kweli.

Duuuuuuuh, huyo ambaye siyo raia habari hii inasikitisha.
Sasa , alifikaje hadi ngazi za kuwa jaji wakati siyo raia!?
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Asante kwa ufafanuzi
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Kwani MTU aki achaka kazi ataandika sababu za ukweli za yeye kuacha kazi ?mkuu ni wachache SNA wanaandika ukwwli
 
Ukiachana na mapungufu ya uwasilishwaji wa taarifa hii, hizi tetesi ni kweli na ubayana upo ndani yake.

Kujihudhuru kwa hawa watumishi ukiangalia kwa jicho la ndani, ilikuwa sio rahisi kuwajibishwa na mamlaka kuu.

Watumishi hawa walikuwa directly attached na familia kuu iliyopita, haijarishi ni katika uhusika upi ama tuhuma gani...

Tuunganishe Clue,
Mecky ni rafiki na swahiba mkuu wa ile familia.
Jaji mpare alishinikizwa na familia kuu kuwapa dhamana wale wapakstani(mengine sitaingia kiundani) kisha wakasepa, make ile familia ilihusika na yale makitu.
Jaji mhaya ni kweli alihongwa na Ruge kwenye kashfa ya Escrow ambayo vilevile familia kuu ilihusika kwenye ukwapuaji wa yale madola...
Mzee Magu, hata angekoroma vipi na mikwara yake ila ipo wazi isingekuwa uamzi wa ghafla wa mwenye nyumba aliyepita, leo hii makazi yake yasingekuwa pale jumba kuu.

Kila mbabe ana mbabe wake.
Msifungue ya uvunguni, mnamuaibisha bwana mbabe...
Kwenye escrow walikuwa Majaji Wawili Huyo Mujulz na Mwngine nadhan alikuwa prof km sikosei. Kwanini atolewe huyu mmoja tu?
 
Back
Top Bottom