Halafu na wewe Madame B kwa nini unawapagawisha watptp wa wenzio kwa majibu yako ya kuchonga!
Shauri yako, dogo akikata kamba utalijua jiji.....
Badala ya kuhangaika na wewe uliyemzulia zali la mentali anaanza kuwasumbua wake za watu...
Na huyu marejesho sijui kaambiwa na nani kwamba anaweza kutibu watu zaidi ya mmoja hata kama ni kutoa huduma namba moja (first aid)?
Bahati yake Filipo leo hawezi kusoma kwa sababu ya kuzidiwa na kipigo cha TBL na SBL!!
Babu DC!!
Una sifa wewe!nani kakugusa!?
Hahahahahahaha! Almanusura nifungwe kamba kwa kudhaniwa nimepata kichaa cha ghafla! Nimecheka sana lol!
Halafu wewe?
Hilo ombi haliwezi kukubaliwa hata kwa dawa? Labda niombe msaada wa mmojawapo wale niliowakabidhi urithi!!
Cc....Bibi DC!!
Babu DC!!
Ukiona hvo ana kidole cha mwisho.
Una sifa wewe!
We subiri.... Labda usikatize hapa nje kwetu!
Asalaaale naona mwili wangu umesisimka ghafla na baadhi ya maeneo yanaanza kujinyoosha mweeee!
Hebu tuendelee na show!
Swali la 14:
Je, Ushawahi kushiriki mapenzi ya jinsia moja (Kusagana) ?
We koma kumzeesha mwenzio, kwa ujana upi ulionao mpaka umwamkie babu Dark City??? Miaka 52 yako na ya DC 35 nani amwamkie mwenzie?
lol.
Ndo mana ulikuwa umechomolea shatii!
Hahahaha! Ukiamua kuuliza uwe na moyo wa chuma babu DC lol, vinginevyo utaishia kujisononesha bure!
Hapana Madame B , mie nashauri aje na bibi yetu
Hahaha, yaani usinikumbushe manake kesho jumapili morning glory ni.kwa padre massawe. Nampenda sana Mungu but i wish ibada ingekuwa jioni, mweeh! Madame B, polee. Raha ya maisha ni kuamka nao aisee.
...hatakuwa free bhana.
Bibi atakuja na TANMO