Wanajamvi njooni tumjadili kijana wa kifaransa mwenye asili ya Algeria....
a)Huyu jamaa ni kocha kweli au status yake kama mchezaji inambeba?
b) Yale mafanikio ni ufundi wake au ni ile timu aliyorithi.
Kuna watu wanahisi huyu jamaa ni mpanga kone tu...
Njooni tujadili...
a)Huyu jamaa ni kocha kweli au status yake kama mchezaji inambeba?
b) Yale mafanikio ni ufundi wake au ni ile timu aliyorithi.
Kuna watu wanahisi huyu jamaa ni mpanga kone tu...
Njooni tujadili...