Qatar na mpira wa miguu wapi na wapi? Nadhani lengo lao ni kumtajirisha Zidane tu.
kama kudhihirasha yeye kochamzuri kashafanya...kilichobaki ni kuokota mihelaaaaaaaaaa. wakina ferguson mourinho wote hawajawaji shinda hattrick ya makombe ya uefa, kunalipi jipyautafanya ulaya in terms of club football. wacha akale bata