SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 807
Mkuu umenena vyema kabisa. Atuwekee list ya wachezaji ambao wanaweza kufikia level za hao Malegend.nitajie beki mmoja wa sasa ambaye angalau anaweza kaa na malegend wa zamani kama Nesta, Beckenbeur, Malidini etc.
level ya ukabaji imeshuka Sana. wachezaji kibao kama Harry kane, Ibrahimovic, Suarez, Cavani, wanafikisha Goli 40 au 50 zama hizi. hivyo usishangae watu kufunga magoli mengi.
Mkuu hebu kula hii [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Hata hao Ronaldo na Messi wangekua enzi zile nawao wangeishia kupiga picha na watu tu.
Hata mda huo walikuepo watu wanaofunga magoli lakini hawakuwah kuwa kwenye kinyang'anyiro. Uwezo wa mpira na magoli ni vitu viwili tafauti. na ndomana kukawa na tunzo ya mchezaji bora mbali na mfungaji bora mbali. Alan sherear, Henry, Trezguet, Raul, Elbar, Van nestroy. Wote hao walikua wakipiga mabao tele tu lakini mabao yao hayakuwapa tunzo yoyote. Kwaiyo hata huyo Ronaldo angeishia kama wao.
Siasa na Biashara ndani ya football imezidi kuwa kubwa, na ndio tatizo kubwa la football ya sasa.
Mpira wa saivi umekua ili uheshimike ati kuwa na mafans wengi kwenye insta nayo kigezo sasa sivichekesho ivo.
Watu kama wewe Mkuu nawatafuta kuwapa [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Inawezekana ukawa na makengeza kidogo mkuu.
Alichokua akiweza kufanya Ronaldo De lima uwanjani ni dream tu Kwa Cristina ataishia kutizama kwenye TV tu vitu kama vile.
Mkuu mimi natembeza hii [emoji106][emoji106][emoji106] tu kwa watu wanaojua mpira.Football imebadilika sana. Wachezaji wenye uwezo wamkua wachache, Timu zenye ubora zimekua chache, Uhaba wa wachezaji kila sehemu. Neymar Jr anaesifika kuwa anajua mpira duniani alipotezwa uwanjani na Nacho tu juzi. Je angelikutana na Thuram, Zambrotta, Maldini, Nesta, Cannavaro, Baresi, Cafu, Carlos ingelikuwaje?
Mpira wa leo umekua mpaka Lukaku nae anafikisha 30 goals kwnye msimu. wakati goli 20 kwa star kufika miaka 15 nyuma ilikua shughuli pevu.
Leo beki wa Machestar ni Jones, Young, Smaling. isiwe vipi rahisi kufanga? wakati mnakumbuka ilipokua Stam, Johnson, Irwin, Neviele wakionngozwa na Roy Kean mbele yao ilo goli litaingia tu kirahisi? Sasa jiulize De lima angelimpata Smaling ingelikuaje.
Zidane alikuwa hatari sanaKipindi hicho
- Zidane
- Requelme
- De lima
- Gaucho
- Batistuta
- Okocha
Kweli mkuu.... nakumbuka jinsi BECKHAM na T14 walivokuwa wanatajwa kila mwaka afu wanaishia patupuEnzi hizo kuchukua Ballon D'or ni mziki.
ongezea na Tony Yeboah, unamkata chenga anawahi yeye kunyanyuka na anacheka tu hana hamu na weweWa Africa kwa Okocha dah kama wamerogwa.
Alikua wakawaida tu kiukweli. mbewembwe ndizo zilizokua zinakushuhulisheni.
Umemuona Abedi Pele? Weah? kalusha bwalya? Makanaky? Roger Milla? Mustapha Hajji ?
Daah mkuu wewe uko vizuri kwenye game, okocha was very average, bora yekini mara kumiWa Africa kwa Okocha dah kama wamerogwa.
Alikua wakawaida tu kiukweli. mbewembwe ndizo zilizokua zinakushuhulisheni.
Umemuona Abedi Pele? Weah? kalusha bwalya? Makanaky? Roger Milla? Mustapha Hajji ?
zamani game ilikuwa toughMpira wa sasa ni mgumu ukilinganisha na wa zamani bwana. Msipende kubadilisha vitu,, nikikuuliza pele alizipataje zile goli 1000 utanijibu nini?
Kwa sasa hata goli 500 asingefikisha ukweli ndio huo, na ukizingatia sheria zilivyo ngumu kipindi hiki acha kabisa
alicheza vizuri kwa kipindi kifupi akiwa Valencia, baada ya kuhama Valencia kiwango kilishuka saanamandieta alikua sooo..
Msimsahau my best number 10 of all the time Rui Manuel Cesar costa
Huyu jamaa alienda kufanya trial Benfica wakati huo Eusebio akiwa supervisior wa vijana unaambiwa within ten minutes akawekwa pembeni akamwambia hakuna haja yakuendelea ushapita tayariMkuu we wawapi? unamacho kiasi hicho. Jamaa alikua Classy kabisa. Amazing Player.
KempesMalejendari wa kabumbu.
Beckam? Drogba? Gerrad? Neymar? mshkaji vipi unamda gani toka uanze kutiza football? Ushawah kumuona Romario? Rivaldo? Zico? Baggio? Platini? Laudrap? Baresi? Yashin? Zoff? Mathius? Van Basten?
Hapo nimewahi kuwaona Luis Figo na Francisco Totti tu.Mzee unajishushia heshima. Okocha? Ortega na Aimar umewahi kuwaona? Rivaldo, Romario je? Rui costa, Figo, Futre ? Del piero, Baggio, Totti?
Aina ya uchezaji wa Cr7 sijawahi kuipenda, hata Bal'dior anazopewa naona ni siasa za kimpira zaidi!Ingawa cr7 simpendi lakini unafanya mistake kumfananisha na de lima...kitu gani cha ajabu alichofanya uwanjani cr7 hakufanya? Tim yake kailetea mafanikio makubwa kuliko uyo de lima, ballon de ana 5, fifa best player 5 times makombe mengi tu,, Huoni kuwa humtendei haki?
All in All Messi is from another planet...
Dah.....Enzi hizo hakuna kama zidane na Requelme
Kwa sasa angerikuwepo ndio kabisaa. Tena wala usiumize kichwa bro,, Hata hao akina
George Weah, Matthias Sammer, Ronaldo, Zinedine Zidane, Rivldo, Luis Figo, Michael Owen, Pavel Nedved, Andriy Shevchenko, Ronaldinho, Kaka, Fabio Cannavaro.... yani hawa ni watoto kwa Messi na Cr7, yani wangepotezwa ile mbaya... Viwango vyao havitofautiani na players Iniesta, Di Maria, Cavani, xavi, Aguero, Suarez, Salah, Dybala, Neimar, Hazard, De bruyen,Carrasco, Leroy sane, Mahrez, kane, Assensio,Isco, Coutinho, Ozil, Emre khan, GriezMan, Higuain, Lcardi, Robben,Lewandownski na Mbappe.