Zinedine Zidane Zizzou alikuwa vipi enzi zake?

Zinedine Zidane Zizzou alikuwa vipi enzi zake?

nitajie beki mmoja wa sasa ambaye angalau anaweza kaa na malegend wa zamani kama Nesta, Beckenbeur, Malidini etc.

level ya ukabaji imeshuka Sana. wachezaji kibao kama Harry kane, Ibrahimovic, Suarez, Cavani, wanafikisha Goli 40 au 50 zama hizi. hivyo usishangae watu kufunga magoli mengi.
Mkuu umenena vyema kabisa. Atuwekee list ya wachezaji ambao wanaweza kufikia level za hao Malegend.
 
Hata hao Ronaldo na Messi wangekua enzi zile nawao wangeishia kupiga picha na watu tu.
Hata mda huo walikuepo watu wanaofunga magoli lakini hawakuwah kuwa kwenye kinyang'anyiro. Uwezo wa mpira na magoli ni vitu viwili tafauti. na ndomana kukawa na tunzo ya mchezaji bora mbali na mfungaji bora mbali. Alan sherear, Henry, Trezguet, Raul, Elbar, Van nestroy. Wote hao walikua wakipiga mabao tele tu lakini mabao yao hayakuwapa tunzo yoyote. Kwaiyo hata huyo Ronaldo angeishia kama wao.
Siasa na Biashara ndani ya football imezidi kuwa kubwa, na ndio tatizo kubwa la football ya sasa.
Mpira wa saivi umekua ili uheshimike ati kuwa na mafans wengi kwenye insta nayo kigezo sasa sivichekesho ivo.
Mkuu hebu kula hii [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Football imebadilika sana. Wachezaji wenye uwezo wamkua wachache, Timu zenye ubora zimekua chache, Uhaba wa wachezaji kila sehemu. Neymar Jr anaesifika kuwa anajua mpira duniani alipotezwa uwanjani na Nacho tu juzi. Je angelikutana na Thuram, Zambrotta, Maldini, Nesta, Cannavaro, Baresi, Cafu, Carlos ingelikuwaje?
Mpira wa leo umekua mpaka Lukaku nae anafikisha 30 goals kwnye msimu. wakati goli 20 kwa star kufika miaka 15 nyuma ilikua shughuli pevu.
Leo beki wa Machestar ni Jones, Young, Smaling. isiwe vipi rahisi kufanga? wakati mnakumbuka ilipokua Stam, Johnson, Irwin, Neviele wakionngozwa na Roy Kean mbele yao ilo goli litaingia tu kirahisi? Sasa jiulize De lima angelimpata Smaling ingelikuaje.
Mkuu mimi natembeza hii [emoji106][emoji106][emoji106] tu kwa watu wanaojua mpira.
 
Wa Africa kwa Okocha dah kama wamerogwa.
Alikua wakawaida tu kiukweli. mbewembwe ndizo zilizokua zinakushuhulisheni.

Umemuona Abedi Pele? Weah? kalusha bwalya? Makanaky? Roger Milla? Mustapha Hajji ?
ongezea na Tony Yeboah, unamkata chenga anawahi yeye kunyanyuka na anacheka tu hana hamu na wewe
 
Wa Africa kwa Okocha dah kama wamerogwa.
Alikua wakawaida tu kiukweli. mbewembwe ndizo zilizokua zinakushuhulisheni.

Umemuona Abedi Pele? Weah? kalusha bwalya? Makanaky? Roger Milla? Mustapha Hajji ?
Daah mkuu wewe uko vizuri kwenye game, okocha was very average, bora yekini mara kumi
 
Mpira wa sasa ni mgumu ukilinganisha na wa zamani bwana. Msipende kubadilisha vitu,, nikikuuliza pele alizipataje zile goli 1000 utanijibu nini?

Kwa sasa hata goli 500 asingefikisha ukweli ndio huo, na ukizingatia sheria zilivyo ngumu kipindi hiki acha kabisa
zamani game ilikuwa tough
 
kumbuka pia zamani kulikuwa na makipa m bora kabisa , dino zoff, angelo peruzi, peter scheimel,kipa wa chile, etc
 
Mzee unajishushia heshima. Okocha? Ortega na Aimar umewahi kuwaona? Rivaldo, Romario je? Rui costa, Figo, Futre ? Del piero, Baggio, Totti?
Hapo nimewahi kuwaona Luis Figo na Francisco Totti tu.
 
Ingawa cr7 simpendi lakini unafanya mistake kumfananisha na de lima...kitu gani cha ajabu alichofanya uwanjani cr7 hakufanya? Tim yake kailetea mafanikio makubwa kuliko uyo de lima, ballon de ana 5, fifa best player 5 times makombe mengi tu,, Huoni kuwa humtendei haki?

All in All Messi is from another planet...
Aina ya uchezaji wa Cr7 sijawahi kuipenda, hata Bal'dior anazopewa naona ni siasa za kimpira zaidi!
 
Kwa sasa angerikuwepo ndio kabisaa. Tena wala usiumize kichwa bro,, Hata hao akina
George Weah, Matthias Sammer, Ronaldo, Zinedine Zidane, Rivldo, Luis Figo, Michael Owen, Pavel Nedved, Andriy Shevchenko, Ronaldinho, Kaka, Fabio Cannavaro.... yani hawa ni watoto kwa Messi na Cr7, yani wangepotezwa ile mbaya... Viwango vyao havitofautiani na players Iniesta, Di Maria, Cavani, xavi, Aguero, Suarez, Salah, Dybala, Neimar, Hazard, De bruyen,Carrasco, Leroy sane, Mahrez, kane, Assensio,Isco, Coutinho, Ozil, Emre khan, GriezMan, Higuain, Lcardi, Robben,Lewandownski na Mbappe.

UNAAAKILI SANA ..NIKIWAAMBIAGA WATU HIVI HUWA WANAPINGA ...NAKUMBUKA NILIWAHI KUTOA SOMO KAMA HILI LAKO KATIKA UZI FULANI HUMU HUMU WATU WALIBISHAA BUT MWISHO WASIKU WALIKIMBIA ....
MESSI NA CR7 NI WACHEZAJI AMBAO WANA LEVEL YA U GENIUS HALAFU HAO WENGINE NI WACHEZAJI WENYE VIWANGO VIKUBWA "" SO IMEKUWA NI NGUMU HAWA WACHEZAJI WENYE LEVEL YA VIWANGO VIKUBWA KUWASHINDA HAO MA GENIUS KWA SABABU MA GENIUS UWEZO WAO UMEJITENGA PEKEE "" NDIO MAANA TUNAONA HAO MA GENIUS KILA SIKU WAMEKUWA WAKITAMBA WAO TU ...HATA HAO MALEGEND WANGEKUWAPO KATIKA MPIRA WA USHINDANI MPKA HII LEO WANGE KUWA WANATOKA KAPA SANA TU "" KWA SABABU WALIKUWA WANA LEVEL YA VIWANGO VIKUBWA NA SIO U GENIUS
 
Back
Top Bottom