Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
MkuuNotorious thug ungetuambia nini sababu ya wewe kufungwa gerezani
Umeambiwa ukiwa gerezani acha kuchunguza chunguza yaliyowapeleka wenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuNotorious thug ungetuambia nini sababu ya wewe kufungwa gerezani
Uraiani wanakuita Ulaya kwa maelezo ya mtoa uzi. Tunajifunza mengi.Watu wapo uraiani na bado wanajihisi hawana amani ya maisha, aise watu wanaoishi Gerezani wanawatamani sana mliopo mtaani(uraiani).
Ni kweliMkuu
Umeambiwa ukiwa gerezani acha kuchunguza chunguza yaliyowapeleka wenzio
Mkuu
Umeambiwa ukiwa gerezani acha kuchunguza chunguza
Mkuu
Umeambiwa ukiwa gerezani acha kuchunguza chunguza yaliyowapeleka wenzioHiii ni huku nje ndio watu wanaamini ila ndani kumla mwanaume mwenzako ni ngumu sana ukijulikana utaachiwa ulemavu rungu za kutoshaaaJazia nyama boss [emoji23][emoji23][emoji23], nahisi hii hoja ni ya msingi zaidi, why usiokote ?
Unatoka nduki kukimbilia wapi? Umeshaambiwa ukiwa mtii na kuacha fujo utaishi. Kutoroka ni Trial and Error - unaweza kufeli jaribio hilo au kuzua jambo baya zaidi kwako hata kilema cha maisha. (kama ukifa in action basi utakuwa umefanikisha lengo).Unatoka nduki risasi nyuma yako
Kabsaa
Ni kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jazia nyama boss [emoji23][emoji23][emoji23], nahisi hii hoja ni ya msingi zaidi, why usiokote ?
Mfungwa hana thamaniUnatoka nduki kukimbilia wapi? Umeshaambiwa ukiwa mtii na kuacha fujo utaishi. Kutoroka ni Trial and Error - unaweza kufeli jaribio hilo au kuzua jambo baya zaidi kwako hata kilema cha maisha. (kama ukifa in action basi utakuwa umefanikisha lengo).
Yaani umeongea ki-raia sana. Ngoja ikitokea bahati umefika huko ukajaribu.😭
Hapa usingizi unakujaje,itakuwa kila siku kuumwa mgongo
Kule hapafai tuwe makini ambao hatujafika huko, nina rafiki alipata msala akapelekwa huko mwaka mmoja butimba, alimpiga mtu akamuumiza ikawa kesi kubwa mpaka akahukumiwa.Nilitumwa kikazi gereza fulani, aiseeee kumbe kule pasikie tu, jamani nyie lile limlango lione tu ila ukiingia kutoka ni ngumu.
Basi nilivyofika nikajitambulisha nimetumwa na mamlaka fulani kumuona mfungwa fulani nikaonyesha docs anazotakiwa kusaini.
Sikupata usumbufu wowote askari walinipokea vizuri.nilikalishwa sehemu baada ya muda wakamleta nikaongea nae ila mbele ya askari.
Niliongea nae akaomba hizo documents nimpelekee mtu fulani baada ya yeyekusaini na wakagonga mhuri wa magereza kuwa kapokea.
Nafasi aloipata ni kupitia hiyo document nilopeleka ataweza pata hata wakili waongee tho nafasi ya kumsaidia ilikuwa ni ndogo.
Machache niliyoyaona ndani ni kusafi sana maua kila kitu mazingira kwa nje ni safi.
Wafungwa ambao walikuwa hawajavaa sale niliona wakiwa katika vazi zao na wasafi tu.
Nilichogundua kule kuna nidhamu ya hali ya juu.kila kitu ni utaratibu.
Wakati nikiwa pale mlangoni kwa ndani maafande walinzi walinambia mtu anapoingizwa pale kwa mara ya kwanza uamini kuwa atatoka soon ila sio kweli, kuingia ni rahisi ila kutoka sio unavyodhani.
Kwa ulinzi ule inabidi kuwa mpole ukiwaza kutoroka lazima uumie. Kwanza unaanzaje kutoroka kwa fensi ile? Fensi ndefu vile kama barabara?
Nilijifunza tuishi kwa kuwa makini ukiona mtu anataka kukuletea msala jiweke pembeni.mambo ya ugonvi, kuzurumu watu na mambo mengine mabaya tuepukane nayo.
Mkuu,fanya michezo yako yote usiingie jela fulani fulani Mozambique.....au jela za Zambia...Kwa kiasi fulani Tanzania tumejitahidi kwa hizi jela kulinganisha na baadhi ya nchi za Africa...
Sikuhizi anajiita civilian coin.Don Nalimison inaitwa huku uje kutoa experience yako ya jela la Butimba na mengineyo!!
Matakoni wanaweka kagunia kalikomwagiwa chumvi viboko viingie vizuriKwenye hizo adhabu ya viboko hua wanachapa sehem gani ?