Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Kabsaa
Mkuu

Umeambiwa ukiwa gerezani acha kuchunguza chunguza yaliyowapeleka wenzio
Ni kweli
Mkuu

Umeambiwa ukiwa gerezani acha kuchunguza chunguza
Mkuu

Umeambiwa ukiwa gerezani acha kuchunguza chunguza yaliyowapeleka wenzio
Jazia nyama boss [emoji23][emoji23][emoji23], nahisi hii hoja ni ya msingi zaidi, why usiokote ?
Hiii ni huku nje ndio watu wanaamini ila ndani kumla mwanaume mwenzako ni ngumu sana ukijulikana utaachiwa ulemavu rungu za kutoshaaa
 
Unatoka nduki risasi nyuma yako
Unatoka nduki kukimbilia wapi? Umeshaambiwa ukiwa mtii na kuacha fujo utaishi. Kutoroka ni Trial and Error - unaweza kufeli jaribio hilo au kuzua jambo baya zaidi kwako hata kilema cha maisha. (kama ukifa in action basi utakuwa umefanikisha lengo).
Yaani umeongea ki-raia sana. Ngoja ikitokea bahati umefika huko ukajaribu.😭
 
Kwenye hizo adhabu ya viboko hua wanachapa sehem gani ?
 
Unatoka nduki kukimbilia wapi? Umeshaambiwa ukiwa mtii na kuacha fujo utaishi. Kutoroka ni Trial and Error - unaweza kufeli jaribio hilo au kuzua jambo baya zaidi kwako hata kilema cha maisha. (kama ukifa in action basi utakuwa umefanikisha lengo).
Yaani umeongea ki-raia sana. Ngoja ikitokea bahati umefika huko ukajaribu.😭
Mfungwa hana thamani
 
Nilitumwa kikazi gereza fulani, aiseeee kumbe kule pasikie tu, jamani nyie lile limlango lione tu ila ukiingia kutoka ni ngumu.

Basi nilivyofika nikajitambulisha nimetumwa na mamlaka fulani kumuona mfungwa fulani nikaonyesha docs anazotakiwa kusaini.

Sikupata usumbufu wowote askari walinipokea vizuri.nilikalishwa sehemu baada ya muda wakamleta nikaongea nae ila mbele ya askari.

Niliongea nae akaomba hizo documents nimpelekee mtu fulani baada ya yeyekusaini na wakagonga mhuri wa magereza kuwa kapokea.

Nafasi aloipata ni kupitia hiyo document nilopeleka ataweza pata hata wakili waongee tho nafasi ya kumsaidia ilikuwa ni ndogo.

Machache niliyoyaona ndani ni kusafi sana maua kila kitu mazingira kwa nje ni safi.

Wafungwa ambao walikuwa hawajavaa sale niliona wakiwa katika vazi zao na wasafi tu.

Nilichogundua kule kuna nidhamu ya hali ya juu.kila kitu ni utaratibu.

Wakati nikiwa pale mlangoni kwa ndani maafande walinzi walinambia mtu anapoingizwa pale kwa mara ya kwanza uamini kuwa atatoka soon ila sio kweli, kuingia ni rahisi ila kutoka sio unavyodhani.

Kwa ulinzi ule inabidi kuwa mpole ukiwaza kutoroka lazima uumie. Kwanza unaanzaje kutoroka kwa fensi ile? Fensi ndefu vile kama barabara?
Nilijifunza tuishi kwa kuwa makini ukiona mtu anataka kukuletea msala jiweke pembeni.mambo ya ugonvi, kuzurumu watu na mambo mengine mabaya tuepukane nayo.
Kule hapafai tuwe makini ambao hatujafika huko, nina rafiki alipata msala akapelekwa huko mwaka mmoja butimba, alimpiga mtu akamuumiza ikawa kesi kubwa mpaka akahukumiwa.

Jamaa yangu sikumtenga nilikua naenda kwa mwez mara 2 kumpa moyo asijione kama ametengwa sana.
Mungu alisadia mwana alitoka baada ya kama miez 8 kama sikosei, nilichokiona mule ndani kila nilipokua naenda hakuna uhuru kabisa, kuna utulivu na watu wanaheshimiana , pale kwenye nyavu mnapoongelea dah!!!
hata sio sehem nzur ya kuongea na ndugu yako kumfariji maana kuna kelele kila mtu anataka kuongea na mtu wake.. kila nilipokua namuaga alikua anapenda kusema mwanangu mimi ndo kama hivi unavoona nipo jela
 
Samahan mkuu , umesema usipende kuchunguza au kuuliza wenzio yaliowapeleka jela unaweza kulezea sababu ili tufahamu maana kila mtu ni mfungwa matrajiwa
 
fanya michezo yako yote usiingie jela fulani fulani Mozambique.....au jela za Zambia...Kwa kiasi fulani Tanzania tumejitahidi kwa hizi jela kulinganisha na baadhi ya nchi za Africa...
Mkuu,

Tanzania tumejitahidi kwenye issue nyingi sana ukifananisha na mataifa mengi ya Africa.
 
Back
Top Bottom