Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

Maweni naona ndio gereza gumu sana kutokana na location yake ilipo utapiga sana kokoto kwenye jua pale wafugwa wengi pale wametoka magereza ya karanga(Kilimanjaro) na kisongo(Arusha) hawa ni wa vifungo virefu na wale wa pale tanga kule shuruba ni nzito sana wafungwa wa kunyongwa wapo pia pale wengii tyu (condemn) maweni hata askari magereza ni wakali sana upekuzi ni kila muda na vipigo ukienda kule mwezi utapauka na kua mweusi tiii kutokana na joto, kazi, mrundikano wakuu gereza la maweni ndio gereza naloliogopa kuliko yote Tanzania likifuatiwa na gereza la Songwe na gereza lililopo Ruvuma!
Gereza la Moro Sumbawanga unalijua?
 
Kuna utaratibu gani wa kujua mfungwa fulani kamaliza mda wake wa kukaa jela anatakiwa kutoka
 
Mbaya zaidi ukirudi mtaani kila mtu anakukimbia/anakukwepa,yani kama utawatia msala nao wafungwe,dah yani ni nuksi tupu asee.

Nadhani ndo mana kuna nadharia ya kuogeshwa na kuchoma nguo zote ulizokuwa nazo huko, kabla ya kufika nyumbani hata kama ulikuwa rumande siku moja tu.
 
Mkuu haujakata kiu cha swali langu.
Hapo umeeleza namna ya ukung'utaji wake tu.

Ninachotaka kuelewa, pamoja na process hizo za kupimwa na nini sijui, mboko zinatembezwa siku ya ngapi tangu utinge jela kuanza kutumikia adhabu?

Nikatolea mfano wa Sabaya ambaye alifungwa na kukata rufaa, je alishapigwa tayari hata kabla ya mchakato wake wa rufaa haujasikilizwa, au inakuwakuwaje hapo?
Kwa kukata rufaa hawezi kuchapwa maana kama akishinda rufaa itakuwa haina maana tena japo **** mufa utapotea huo hauna namna ila viboko vinaweza kusubiri utekelezwaji Mkuu.
 
ulichosema ni sahihi....kujiandaa kwa utayari....wakati wowote....ishi kwa wema na watu wote......GEREZANI hakufai kabisa........kuna udhalilishaji wa kuutesa moyo wako milele......na visasi visivyopangiliwa.........kuna magereza yanayokufanya uwe KATILI ajabu.........lipo ukanda wa dom / mg.........
 
Back
Top Bottom