ni kweli lakini hapa tunaongelea issue za gerezaani
sio jkt......
issue za jkt anzisha uzi wako
Ni kweli kabisa uko sahihi!! Issue za gerezani umezikuza sana wala si za kututisha kiivo!! watu tuogope! Mgereza yapo ajili yetu, tutashindwa kujaribu mbinu za maisha kwa kuogopa sheria na sheria zipo ili zivunjwee!! tufungwe!
wazo lako la kututishia Magereza siyo innovative! Kwa kuwa weye si mkakamavu, ni mtoto wa mama hujapitia karinye karinye!! ajili ya uzembe...kusema nianzishe uzi wa jkt zipo nyingi tu humu! sema weye ni mzembe kusoma!!
Magereza yapo kwa ajili yetu sisi ''watu! hatuna sababu ya kuyaogopa! aende nani sasa? nyau au!! Nyerere na ujanja wake wote alifungwa na Mkoloni! LKN HAKUKOMA!!
Kidume Mandela huyo alikomaa wazi wazi! akawaambia ...''Mkiona vipi niueni lkn siachi" huyo hapo tunamuheshimu
'Dedan kimath. edward Mondlane 'Steve Bikko nk waliuawa kinyama gerezani huko ili tuogope lkn hatukukoma Africa nzima tuna wa heshimu vizazi na vizazi! walikufa ili tuwe Huru!
na hatukomi, wewe historia haikukufundisha kitu ndo! kosa la shule za st. kayumba! na matokeo mazuri ya walimu wa UPE!...na watu walio fundishwa na waalimu wa UPE wanaogopa hata jongoo!
Ma idealistic wote Duniani! tena tokea familia bora sana, walipata Elimu Bora, tangia nyumbani kwao, na wengi wana Damu ya kitemi! sina haja ya kuwataja hapa, hao walifungwa jela.
wengine wakafia huko, baadhi wakarudi kuendeleza mapambano lengo lao lilikuwa sisi weusi na wa chini muwe huru na Bora! huu uzi wako bora ufute tu kwa sababu unawasaidia sana watawala dhalimu, waoga!
wewe ni nani mla vihepe vya Mbagala? usifungwe jela?? huna damu ya u-chief weye! hiyo ni damu mkoloni aliita ya kabwela! ebu fikiria Mtemi Mkwawa aliona Bora afe kuliko kufungwa na hao! we nani uogope kufungwa!
Huu uzi wako unge huamishia jukwaa la waoga! waoga vilaza! siyo sisis wakaka mavu tulio pitia karinye karinye za jeshini!! tuko kivingine kabisa brooo!! sijui utanishawishi vipi nikuelewe! ila weye ni selure hasa!!
Mtu km weye jeshini unapigwa cha moto faster! na wasaidizi wako kwakuwa u muoga utasababisha Battalion nzima kuogopa! ogopa ivo kuhatarisha ushindi!