INAUZWA Zipate mashine za lambalamba au Popsicle's

INAUZWA Zipate mashine za lambalamba au Popsicle's

Mi najua ukwazika mkuu sema poa tu ndo soko limeamua unabei sana mkuu ata kama ni ubora wako umezidi yani 1.5 M wewe umepaa mpk 3M wacha tuwape connection na wengine waende magomeni tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ahsante sana tupeni hayo makoneksheni.
 
Mashine za lamba lamba na ice cream mzigo umeingia tupigie 0659567058
FB_IMG_1543347075031.jpeg
IMG-20200222-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Machine za lamba lamba tray mbili zipo Kwa million nne tu
IMG_20200709_161649_329.jpeg
 
Machine zinazofaa kibiashara acha kugandisha kwenye friji
 
Back
Top Bottom