Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
- Thread starter
- #41
Uzalishaji kibiashara kwa kumiliki lambalamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukiwa tayari nitakutafuta mkuu..Magomeni unapata mashine ya lamba lamba kwa milion moja na laki tano anaetaka anichek dm nimuekekeze pa kwenda akanunue kwa bei ya 1.5m muache kuwapiga watu na bei za juu, mara mashine ya corn milion 3, mara lamba lamba mashine milion 3 du
Na ukipigwa huko uje mashine kama hii uipate kwa million moja na nusu haiwezekani hilo frijiTukiwa tayari nitakutafuta mkuu..
kuu mi nahitaji, hiyo mashine, naomba connection nikachekMagomeni unapata mashine ya lamba lamba kwa milion moja na laki tano anaetaka anichek dm nimuekekeze pa kwenda akanunue kwa bei ya 1.5m muache kuwapiga watu na bei za juu, mara mashine ya corn milion 3, mara lamba lamba mashine milion 3 du
Mkuu uko sehemu gani mi nahitaji iyo mashine ya lamba lambaMashine za lamba lamba kwa million tatu tu ikitoa piece 40 kwa Dakika 15 tu
Karibu sana ilala na msimbaziMkuu uko sehemu gani mi nahitaji iyo mashine ya lamba lamba