Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
- Thread starter
- #61
Muongo huyo atakupa friji ila kaone ulete jibu mwenzio toka kaona hajarudim
kuu mi nahitaji, hiyo mashine, naomba connection nikachek
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongo huyo atakupa friji ila kaone ulete jibu mwenzio toka kaona hajarudim
kuu mi nahitaji, hiyo mashine, naomba connection nikachek
Muongo huyo atakupa friji ila kaone ulete jibu mwenzio toka kaona hajarudim
kuu mi nahitaji, hiyo mashine, naomba connection nikachek
Jamaa yangu Mimi ninamashine mpyaaaa! Ila tatizo sijajua kutengeneza profitable juice ili nikifyatua niuze 100 kwenye mikusanyiko. Kila nikigoogle vinakuja mala maziwa Mara parachichi kweli? Nitengeneze kwa maziwa niuze sh 100Pata mashine na ushauri
Pole sana ndugu zile sh 100 kuna namna ya utengenezaji ukitaka za maziwa kweli zitakuumiza nikushauri tengeneza kutokana na soko lakoJamaa yangu Mimi ninamashine mpyaaaa! Ila tatizo sijajua kutengeneza profitable juice ili nikifyatua niuze 100 kwenye mikusanyiko. Kila nikigoogle vinakuja mala maziwa Mara parachichi kweli? Nitengeneze kwa maziwa niuze sh 100
Hizi mashine ni nzuri sana lakini bei zake ndio zitanifanya nibaki nyumaNajidakia online store wanatoa service ifuatayo
mashine ya kutengeneza lambalamba yenye uwezo mkubwa piece 200 kwa pamoja ndani ya dakika 25-35 tayari ni kwa kibiashara kweli kweli tunaitengeneza hapa hapa gharama yake million tano tu
Pia zipo za kutoka China kwa wapenzi wa hizi mashine zipo uwezo tofauti tray moja 3m
Na tray mbili 4m
Tray tatu 5m
Kwa sasa zimebaki tano tu karibuni
0659567058
Mashine zote zinazouzwa chini yetu najidakia store ni imara na bora
View attachment 1020319View attachment 1020321View attachment 1020322View attachment 1020323
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupeni connection bacMkuu kama chimbo zuri nikwazike nini kuwa huru japo naona unawauzia friji wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefanikiwa kwa asilimia 100 na sasa nimekuwa mwalimu nasaidia watu Tz nzima. Chostic zinalipa asikuambie mtuPole sana ndugu zile sh 100 kuna namna ya utengenezaji ukitaka za maziwa kweli zitakuumiza nikushauri tengeneza kutokana na soko lako
Wapo wengine huuza mpaka elfu mbili kila kopo
Mashine walete kwetu maana kuna wengine hugandisha kwa kutumia friji za majumbani huyo faida hataonaNimefanikiwa kwa asilimia 100 na sasa nimekuwa mwalimu nasaidia watu Tz nzima. Chostic zinalipa asikuambie mtu