MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Hauwezi kutenganisha mafanikio na mhusika wa mafanikio yenyewe ambaye ni binadamu( mwenye Mwili, Nafsi na Roho)Mafanikio hayana definition ndo maana hapa kila MTU anakuwa subjective anatoa mtazamo wake
Usi-question utaharibu mada.
Wenzako wamezungumzia kiuchumi wengine kijamii sasa umezungumzia kiroho
Na ukizungumzia kiroho unakuwa upo subjective
Hauwezi kutenganisha mafanikio na mhusika wa mafanikio yenyewe ambaye ni binadamu( mwenye Mwili, Nafsi na Roho)Mafanikio hayana definition ndo maana hapa kila MTU anakuwa subjective anatoa mtazamo wake
Usi-question utaharibu mada.
Wenzako wamezungumzia kiuchumi wengine kijamii sasa umezungumzia kiroho
Na ukizungumzia kiroho unakuwa upo subjective
Sio kusalimiwa. KuamkiwaKusalimiwa na watu wazima 😊
Angali ni bwana mdogo.
Just kidding 😂
This is fraud mafanikio hayana maana, it's a state of mind. Huwezi nambia watu wote mpk wafanye hayo sjui kuajili watu wengine has nothing to do with other people, ni jinsi mtu anavyo hisi ndani ya moyo wake, kuna watu wamefanya hayo yote lakini wakajihisi they're meaningless. Kama ni mtazamo wako sawa pia. Mm naona hizo zote zinaingia kwenye development. Ila success is a state of mindKufanikiwa hakuna maana inayojulikana moja kwa moja, hili swali litajibiwa Kutokana na mtazamo wa MTU binafsi.
Hii mada kuna watu watachanganya kati ya Kufanikiwa au mafanikio Success na kuwa na maendeleo development.
Mimi ntatoa mtazamo kuhusu kufanikiwa na sio Maendeleo.
Kuhusu Mimi kufanikiwa , huwa naangalia pale unapofika hatua ya kuwaathiri watu kwa njia chanya.
Mfano Una pesa au una kipawa fulani jinsi watu wanavyokuwa benefited kupitia ulichonacho tayari umefanikiwa.
Mfano, Diamond tunaona ametoa Sana Ajira kwa watu na hao watu wanaishi vizuri hayo sasa ndo mafanikio.
Hivyo yawezakana Mimi napesa Sana naishi vizuri Ila watu wakaribu yangu wakiwa hawaishi vizuri maana yake sijafanikiwa.
Huo ndo mtazamo wangu kuhusu mafanikio.
NB: Kujenga ghorofa, kuoa, kuolewa, kununua gari kuhamia kwako hayo ni maendeleo - development
Ila kusaidia ndugu aliyekwama Ada, kumuwezesha MTU kibiashara, kuwasapoti wazazi ndugu marafiki n.k hayo huitwa mafanikio. Success.
Hii kidogo inamake sense.Kwangu mimi mafanikio ni kuwa na uwezo wa kufanya chochote unachotaka, na kuenda mahali popote unapotaka muda wowote unaotaka, ilimradi haumdhuru mtu wala hauvunji sheria za nchi
Msingi wa familia yenye Amani na upendo niHata freemason na watoa kafara wenye vipato na matajiri wanalisha familia mwaka mzima bila kutetereka
Hata wanasiasa mafisadi na wezi wanafamilia zenye amani na upendo (kwa sababu ya pesa) mf. Nape
This is fraud mafanikio hayana maana, it's a state of mind. Huwezi nambia watu wote mpk wafanye hayo sjui kuajili watu wengine has nothing to do with other people, ni jinsi mtu anavyo hisi ndani ya moyo wake, kuna watu wamefanya hayo yote lakini wakajihisi they're meaningless. Kama ni mtazamo wako sawa pia. Mm naona hizo zote zinaingia kwenye development. Ila success is a state of mind
Mkuu elewa maana ya sentensi "kufanya chochote unachotaka", hao watu wenye hayo matatizo hawawezi kufanya chochote wanachotaka, by the way kumbe na wewe ni kati ya wale mnaoamini katika utajiri wa makafara sijui na matakataka ganiYote hayo yana maana gani kama hauna mguu mmoja, hauna uwezo wa kuzaa, una masharti ya kafara n.k? Ukipewa sharti la kuhasiwa haumdhuru mtu wala kuvunja sheria ila nafsi yako haijafanikiwa
Miss you too lil broMiss yo gal
Mafanikio ni pale unapoweza kutatua au kumudu gharama za maisha bila ya kuamja asubuhi na kwenda kufanya kazi, yani hata ukiwa kitandani familia yako itaendelea kuishi vizuriMiaka miwili iliyopita huko Kigamboni,
Nilikuwa natoka kwangu na kwenda dukani kufuata mahitaji, wakati nipo njiani kuna vijana watano walikuwa kwenye mjadala juu ya kufanikiwa.
Ulikuwa mjadala wenye mabishano pia. Walitajwa watu maarufu wengi kama mfano wa watu wenye mafanikio.
Walitajwa : Diamond, Samatta, Dimpoz, Mwamposa, Kiba na wengineo wengi.
Nilisimama na kuwasikiliza ..
..nikachangia kwa kuuliza swali moja
"zipi ni alama kwamba mtu amefanikiwa kimaisha "
Nikawaambia mimi nitajiona nimefanikiwa kama :
- Kipato changu kilichopo akiba kitaweza Kulisha familia yangu muda wa mwaka mzima bila kuterereka.
- Nitakuwa na familia yenye amani na upendo.
Haha, nilitakiwa Nijibuje kwani, I am Older than you remember 😊😊