Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
No you're not. Nakuzidi sana ww mwanamkeHaha, nilitakiwa Nijibuje kwani, I am Older than you remember 😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No you're not. Nakuzidi sana ww mwanamkeHaha, nilitakiwa Nijibuje kwani, I am Older than you remember 😊😊
Hapana, labda kama ule umri wako unaoutajaga humu ni uongo, ila kama ni kweli basi mimi nimekuzidiNo you're not. Nakuzidi sana ww mwanamke
Kuna tofauti kati ya "kufanikiwa kimaisha" na "kutajirika"Miaka miwili iliyopita huko Kigamboni,
Nilikuwa natoka kwangu na kwenda dukani kufuata mahitaji, wakati nipo njiani kuna vijana watano walikuwa kwenye mjadala juu ya kufanikiwa.
Ulikuwa mjadala wenye mabishano pia. Walitajwa watu maarufu wengi kama mfano wa watu wenye mafanikio.
Walitajwa : Diamond, Samatta, Dimpoz, Mwamposa, Kiba na wengineo wengi.
Nilisimama na kuwasikiliza ..
..nikachangia kwa kuuliza swali moja
"zipi ni alama kwamba mtu amefanikiwa kimaisha "
Nikawaambia mimi nitajiona nimefanikiwa kama :
- Kipato changu kilichopo akiba kitaweza Kulisha familia yangu muda wa mwaka mzima bila kuterereka.
- Nitakuwa na familia yenye amani na upendo.
KimenukaNgoja nije pm
Kumbe...!Kupigiwa simu na ndugu za matatizo na sherehe. Jua umetoboa
Kusalimiwa na watu wazima 😊
Angali ni bwana mdogo.
Just kidding ndo nilichofanikiwa Mimi kwasasa na kitendo Cha kupewa salamu na watu wakubwa Tena ya kipekee tofauti na wengine uliokuwa nao inakuongezea kujiamini na kujitafuta zaidi
Kwahyo ukufanikiwa hauendelei na msako...?Kufanikiwa ni kutosheka yan we utafuti tena unatafutiwa ila kama unaendlea kutffuta bado hujafaikiwa
Tutakurushia mawe next time...Nikipanda basi kwenda mkoani nawaona wote walio nje ya basi ni mafala tu na mie nimefanikiwa
Kama unaingiza kipato cha kukidhi mahitaji yako na familia, elimu Bora, nyumba, na unaweza ukaenda vacation hata zenj, wewe familia, MTU nne, tena kwa pipa, hata ukifikisha 70yrs, bado unakiapto kinakuja, aaaah wewe ni mwambaMiaka miwili iliyopita huko Kigamboni,
Nilikuwa natoka kwangu na kwenda dukani kufuata mahitaji, wakati nipo njiani kuna vijana watano walikuwa kwenye mjadala juu ya kufanikiwa.
Ulikuwa mjadala wenye mabishano pia. Walitajwa watu maarufu wengi kama mfano wa watu wenye mafanikio.
Walitajwa : Diamond, Samatta, Dimpoz, Mwamposa, Kiba na wengineo wengi.
Nilisimama na kuwasikiliza ..
..nikachangia kwa kuuliza swali moja
"zipi ni alama kwamba mtu amefanikiwa kimaisha "
Nikawaambia mimi nitajiona nimefanikiwa kama :
- Kipato changu kilichopo akiba kitaweza Kulisha familia yangu muda wa mwaka mzima bila kuterereka.
- Nitakuwa na familia yenye amani na upendo.
Ngoja nijitutumue nitimize hayo.Kama unaingiza kipato cha kukidhi mahitaji yako na familia, elimu Bora, nyumba, na unaweza ukaenda vacation hata zenj, wewe familia, MTU nne, tena kwa pipa, hata ukifikisha 70yrs, bado unakiapto kinakuja, aaaah wewe ni mwamba
Kuna vitu vitatu hapa.Kufanikiwa hakuna maana inayojulikana moja kwa moja, hili swali litajibiwa Kutokana na mtazamo wa MTU binafsi.
Hii mada kuna watu watachanganya kati ya Kufanikiwa au mafanikio Success na kuwa na maendeleo development.
Mimi ntatoa mtazamo kuhusu kufanikiwa na sio Maendeleo.
Kuhusu Mimi kufanikiwa , huwa naangalia pale unapofika hatua ya kuwaathiri watu kwa njia chanya.
Mfano Una pesa au una kipawa fulani jinsi watu wanavyokuwa benefited kupitia ulichonacho tayari umefanikiwa.
Mfano, Diamond tunaona ametoa Sana Ajira kwa watu na hao watu wanaishi vizuri hayo sasa ndo mafanikio.
Hivyo yawezakana Mimi napesa Sana naishi vizuri Ila watu wakaribu yangu wakiwa hawaishi vizuri maana yake sijafanikiwa.
Huo ndo mtazamo wangu kuhusu mafanikio.
NB: Kujenga ghorofa, kuoa, kuolewa, kununua gari kuhamia kwako hayo ni maendeleo - development
Ila kusaidia ndugu aliyekwama Ada, kumuwezesha MTU kibiashara, kuwasapoti wazazi ndugu marafiki n.k hayo huitwa mafanikio. Success.
Tema checheKuna vitu vitatu hapa.
01. Mafanikio
02. Maendeleo
03. Utajiri