Zipi ni njia bora za kumpata mfanyakazi mwaminifu

Zipi ni njia bora za kumpata mfanyakazi mwaminifu

Hello!

Kuajiri mtu akufanyie shughuli zako sasa hivi ni kitu kinachosumbua sana watu wengi, nikiwemo. Ukisema uajiri ndugu tegemea maumivu tu yasioelezeka.

Ukisema uajiri rafiki tegemea kabisa urafiki kuvunjika hakawii kukuzunguka. Nyie wenzangu mnatumia njia gani bora za kuajiri mtu MWAMINIFU? Yaani ile kazi unamwachia hela ndefu ukisubiria returns, maana huwezi fanya kila kitu mwenyewe.

Ipi ni njia sahihi ya kumpata mtu atleast mwaminifu. Au ulimpataje mtu mwaminifu?

Nawasilisha.

Ni changamoto sana.....watu hakuna kabisa...kuna kipindi nilikuwa natamani ili nimpe mtu kazi aache kiungo chake muhimu kwangu kama dhamana......ila njia ninayoitumia kwa sasa nikumpa mtu hisa (kama 5 - 10%) ya faida naye ajisikie kama mmiliki badala ya kumlipa kama kibarua...hii imenisaidia kidogo....Biashara nyingine ambayo hainiumizi kichwa kabisa mpaka sasa ni mobile money ambayo ni mjinga tu anaweza kudokoa sababu utamshika kirahisi...ripoti zote zinatumwa online
 
Ni changamoto sana.....watu hakuna kabisa...kuna kipindi nilikuwa natamani ili nimpe mtu kazi aache kiungo chake muhimu kwangu kama dhamana......ila njia ninayoitumia kwa sasa nikumpa mtu hisa (kama 5 - 10%) ya faida naye ajisikie kama mmiliki badala ya kumlipa kama kibarua...hii imenisaidia kidogo....Biashara nyingine ambayo hainiumizi kichwa kabisa mpaka sasa ni mobile money ambayo ni mjinga tu anaweza kudokoa sababu utamshika kirahisi...ripoti zote zinatumwa online

Kuna mwamba mmoja bwana nilimkabidhi kitabu Cha risiti ..bas mteja akilipa marejesho anampa receipt fake..huku inaonekana mtu bado anadaiwa...imagine unampa hizo %!..so akikusanya marejesho anampa risiti zake!😭😭
 
Ni changamoto sana.....watu hakuna kabisa...kuna kipindi nilikuwa natamani ili nimpe mtu kazi aache kiungo chake muhimu kwangu kama dhamana......ila njia ninayoitumia kwa sasa nikumpa mtu hisa (kama 5 - 10%) ya faida naye ajisikie kama mmiliki badala ya kumlipa kama kibarua...hii imenisaidia kidogo....Biashara nyingine ambayo hainiumizi kichwa kabisa mpaka sasa ni mobile money ambayo ni mjinga tu anaweza kudokoa sababu utamshika kirahisi...ripoti zote zinatumwa online

Kuna mwamba mmoja bwana nilimkabidhi kitabu Cha risiti ..bas mteja akilipa marejesho anampa receipt fake..huku inaonekana mtu bado anadaiwa...imagine unampa hizo %!..so akikusanya marejesho anampa risiti zake!😭😭
 
Back
Top Bottom