Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Ndugu zangu kila mmoja wetu achangie mada hii ili tupate kiini cha swala hili. Kuna baadhi ya wanaume wametunza watoto ambao si wao, kuanzia mimba mpaka ukubwani kwa kuwasomesha kwa gharama kubwa pasipokujua kuwa sio watoto wao.
Baadhi ya familia zinaishi na watoto wasiokuwa wa baba mwenye familia na hata kurizishwa mali huku baba mwenye familia akijuwa kuwa ni watoto wake.
Sababu kubwa ni ipi ukizingatia kuwa baba wa familia hiyo hana matatizo ya kutungisha mimba.
Baadhi ya familia zinaishi na watoto wasiokuwa wa baba mwenye familia na hata kurizishwa mali huku baba mwenye familia akijuwa kuwa ni watoto wake.
Sababu kubwa ni ipi ukizingatia kuwa baba wa familia hiyo hana matatizo ya kutungisha mimba.