Zipi sababu za wanaume kubambikiziwa watoto wa wanaume wenzao?

Zipi sababu za wanaume kubambikiziwa watoto wa wanaume wenzao?

Bana eeh... mtoto akizaliwa nyumbani kwako huyo ni wakwako, full stop.
 
N bora kulea mtoto hata kama sio wako, mbona tunafuga mbwa na bil ya manyama buchan tunamwekea anazaa watto 8 wote tunawalea kwan ww n baba mbwa? Saio hata dume ujui lko wap lilompa mmba mbwa wako kwaio kama ukiletewa mtoto we lea tu mzee..
 
kwa sababu sasa tuna vipimo vya malara, mkmba na ukimwi waweza kupima nyumbani. Nashauri serikali ilione hili kuleta vipimo vya DNA tunapima tu nyumbani😊
 
Pesa wanawake wanaangalia pesa ipo wapi nasema hao ambao bado awajaolewa....kwa wale waloolewa wanafanya hivo kutunza heshima zao na kulinda ndoa zao
Ndugu zangu kila mmoja wetu achangie mada hii ili tupate kiini cha swala hili. Kuna baadhi ya wanaume wametunza watoto ambao si wao, kuanzia mimba mpaka ukubwani kwa kuwasomesha kwa gharama kubwa pasipokujua kuwa sio watoto wao.

Baadhi ya familia zinaishi na watoto wasiokuwa wa baba mwenye familia na hata kurizishwa mali huku baba mwenye familia akijuwa kuwa ni watoto wake.

Sababu kubwa ni ipi ukizingatia kuwa baba wa familia hiyo hana matatizo ya kutungisha mimba.
 
Daaah, baadhi ya wanawake wamelaanika hata hawaoni kuwa ni kosa kubwa kumbambikizia mtu mimba isiyo yake au mtoto asiwo wake,
Kila nikikumbuka, basi imani na wanawake inaisha kabisa
 
Back
Top Bottom