Zipo taarifa kwamba walioshirikiana na Naibu waziri wa Sheria kufanya ukatili wamekimbilia nchini Kenya kujificha kupoteza ushahidi

Watanzania wengi wana mihemko

Huyu mbunge hawezi kukamatwa endapo aliyefanyiwa hivo vitendo haja report polisi, kuhusu huo uhalifu.

So, hii kusema eti polisi wamkamate tu mbunge sidhani kama inaweza kutokea, kama haija reportiwa.

So, kama huyu dogo asipo report na kufungua case, hakuna ambacho kitaendelea. Na raia watabaki kulalamika wakati mambo yanatakiwa yafuate sheria
 
Leo mchana vijana walienda kuzuia gari ya serikali iliyokuwa inahamisha mizigo na vitu mbalimbali vya Gekul , mashaka ya vijana hawa walikuwa wanadai kuwa kuna mkakati wa kumtorosha mbunge huyo kipitia mpaka wa Kenya na Tanzania
Du ameyatimba. Mie najua Kabila Hilo walivyo Yule Dogo hajadanganya hata sentensi moja na ukimsikiliza Mama Kenny Park kuna kitu amejaribu kukieleza .Naibu Waziri WA zamani 😁hili sio tukio lake la Kwanza.
 
Hii ndiyo stori ya kufungia mwaka. Imeisha hiyo.
Akapige magoti chato pale kaburini kuonesha kuunga kwake mkono juhudi.ambatane na munyeti yule aliyekuwa mshenga wake hadi kumkutanisha na dr bure bashiru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…