Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Nimeona taarifa kutoka mitandaoni zikieleza kwamba walioshirikiana na Mbunge wa Babati kwemwekea kijana wa Kitanzania chupa Makalioni wamekimbia na kwenda kujificha nje ya nchi kwa maelekezo ya Naibu waziri.
Lengo la watuhumiwa kutoroka nikukwepa kuhojiwa kwa madai kwamba kesi inayofuatiliwa sasa inapanga kumtenga Mhe. Naibu waziri na tuhuma hizo badala yake wasaidizi wake wabebeshwe huo mzigo.
Jeshi la polisi fuatilieni njama Hii mapema kwani hakuna ajuaye kesho Maelekezo yatakuwa upande wa Mbunge au yatakuwa upande wa Jamii? Endapo yatakuwa upande wa jamii je wanasiasa watashindwa kuwatoa kafara polisi na kuwawajibisha kwa kutochukua hatua au kutorosha watuhumiwa?
Akili za kuambiwa changanyeni na zenu......RPC timiza wajibu wako jambo hili halipo sawa kama ilivyoonekana hapo awali. Barua ya utengezi na audio ya mdogo wa mtuhumiwa akijinadi hakuna wa kumkamata ana anaweza akaua vimechochea kasi.
DPP sidhani kama atachukua hatua kwa sababu huyu aliyefanya haya ni bosi wake. Ila kama ni kutoa ushauri basi aachane na ubosi achukue hatua.
Kuhusu chama cha mapinduzi, sidhani kama ni sahihi kama chama kukaa kimya kwenye tuhuma hizi za mwanachama wao. Ukimya utakinzana na misingi ya haki na kwamba kukemea kuna tija zaidi kuliko kukaa kimya kikatili
Lengo la watuhumiwa kutoroka nikukwepa kuhojiwa kwa madai kwamba kesi inayofuatiliwa sasa inapanga kumtenga Mhe. Naibu waziri na tuhuma hizo badala yake wasaidizi wake wabebeshwe huo mzigo.
Jeshi la polisi fuatilieni njama Hii mapema kwani hakuna ajuaye kesho Maelekezo yatakuwa upande wa Mbunge au yatakuwa upande wa Jamii? Endapo yatakuwa upande wa jamii je wanasiasa watashindwa kuwatoa kafara polisi na kuwawajibisha kwa kutochukua hatua au kutorosha watuhumiwa?
Akili za kuambiwa changanyeni na zenu......RPC timiza wajibu wako jambo hili halipo sawa kama ilivyoonekana hapo awali. Barua ya utengezi na audio ya mdogo wa mtuhumiwa akijinadi hakuna wa kumkamata ana anaweza akaua vimechochea kasi.
DPP sidhani kama atachukua hatua kwa sababu huyu aliyefanya haya ni bosi wake. Ila kama ni kutoa ushauri basi aachane na ubosi achukue hatua.
Kuhusu chama cha mapinduzi, sidhani kama ni sahihi kama chama kukaa kimya kwenye tuhuma hizi za mwanachama wao. Ukimya utakinzana na misingi ya haki na kwamba kukemea kuna tija zaidi kuliko kukaa kimya kikatili