Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Mbona kama unapaniki? Niambie mafundi umeme na maji wakitindua ukuta ubora wa hizo tofali ukoje? Weka gharama zake kwa kila tofali ni bei gani kuuzwa au kufyatulia site bei huwa tsh ngapi!
Mfuko mmoja makadirio zinatoka ngapi kwa resho Kali ,
Ujenzi wa vipande kwenye maungio ukoje! Kwenye rinta hayo matundu mnayaziba na nini ili zege lisipitilize chini kwenye matundu ya tofali n.k

Hayo ndiyo yakuongea ili kuuza bidhaa yako
Nakushauri uje uone vitu live, kama huwezi kuja, jifunze taratibu, utayapata mengi, ndio kwanza tumeanza na kifaa aina moja tu, tena bado hujaona kazi zake zote.

Hapa tunafundisha zaidi ya kutafuta soko, bidhaa zetu zina demand kubwa kuliko matarajio yote.

Tunawapa elimu Watanzania kua ujenzi si lazima uwe na mamilioni, unaanza kujenga kwa pesa za "beer".

Wateja wetu wengi ni wale ambao hawakua na fikra kua hata wao wanaweza kujenga.


Kuhusu maswali yako ya sasa hivi, jibu lake ninhivi...

Tunajivunia ubora wa bidhaa zetu kua ndio bidhaa pekee za ujenzi Tanzania hii utaponunua kama hujazitumia kwa sababubyiyitenile, hatuulizi, unarudishiwa pesa zako. (Money back guarantee, no question asked).
Mtuoneshe muundajji mwengine wa bidhaa za ujenzi, zinazofanana na zetu, afanyae hivyo Tanzania hii.

Natural jibu hilo litakua limejibu maswali yako, kama bado uliza tu zaidi. Sina sababu ya kupanick ni wasiwasi wako tu.
 
Mbona kama unapaniki? Niambie mafundi umeme na maji wakitindua ukuta ubora wa hizo tofali ukoje? Weka gharama zake kwa kila tofali ni bei gani kuuzwa au kufyatulia site bei huwa tsh ngapi!
Mfuko mmoja makadirio zinatoka ngapi kwa resho Kali ,
Ujenzi wa vipande kwenye maungio ukoje! Kwenye rinta hayo matundu mnayaziba na nini ili zege lisipitilize chini kwenye matundu ya tofali n.k

Hayo ndiyo yakuongea ili kuuza bidhaa yako
Kuhusu swali lako la resho, ubora wa bidhaa za ujenzi hautegemei resho peke yake. Kuna stages nyingi zinapitia ilinuwe na bidhaa bora na zote lazima ziwe na "quality conttol" ya uhakika.

Pata ujuzi kwa uchache, stages zinazopitua bidhaa zetu kabla ya kuuzwa.

1) Raw Material selection.
2) Raw material sorting.
3) Raw material cleansing and sieving.
4) Raw material mixing, ratios and additives.
5) molding.
6) vibrating.
7) compacting.
8) demolding.
9) settling.
10) curing.
11) testing.
12) selecting.
13) good for selling.

Hizo ni stages ambazo bidhaa zetu hupitia kabla ya kuuzwa. Stages zote hizo zina ujuzi wa kutambua ubora wa namna ya kuzifanya.

Karibu sana.
 
7. Kuna sehemu za kuweka vipande, kwa aina hii ya tofari inakuwa ngumu kukata kipande
Unatumia kishoka cha mafundi uashi (masonry axe) kama hauna angle grinder ya concrete. Ukitumia mapanga kama tofari zilizozoeleka sokoni itabidi ununue panga jipya kila siku ni hizo ni tofari za zege zenye ubora wa hali ya juu.

Fundi "Maiko" lazima achemshe hapo.
 
Kuhusu swali lako la resho, ubora wa bidhaa za ujenzi hautegemei resho peke yake. Kuna stages nyingi zinapitia ilinuwe na bidhaa bora na zote lazima ziwe na "quality conttol" ya uhakika.

Pata ujuzi kwa uchache, stages zinazopitua bidhaa zetu kabla ya kuuzwa.

1) Raw Material selection.
2) Raw material sorting.
3) Raw material cleansing and sieving.
4) Raw material mixing, ratios and additives.
5) molding.
6) vibrating.
7) compacting.
8) demolding.
9) settling.
10) curing.
11) testing.
12) selecting.
13) good for selling.

Hizo ni stages ambazo bidhaa zetu hupitia kabla ya kuuzwa. Stages zote hizo zina ujuzi wa kutambua ubora wa namna ya kuzifanya.

Karibu sana.
Abdul, you are amazing. Sikujuwa yote hayo, ahsante sana, hata mimi najifunza vitu hapa.
 
Takuja na project ya tofali za mchanga na plastic yaani mota ya kuunganisha tofali ni plastic badala ya mchanga hizi ni nzuri zinaitwa dead brick yaani hazifyonzi maji so haziwezi sapoti kitu hai mfano fungus, ukungu kwenye tofali ni nzuri kujengea maeneo yenye unyevu nyevu hazipitishi unyevu,haziliki na chemical yeyeto hata chumvi. Zinadumu miaka 500.
 
1. "Abraar Hollow Blocks".

Abraar Education Centre licha ya kutoa mafunzo ya kuunda bidhaa za ujenzi pia ni waundaji wa bidhaa za ujenzi za kipekee zente ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.

Leo tunaanza kuwaletea aina ya bidhaa zetu tunazounda. Licha ya kuziunda bidha hizi, pia tunafundisha namna ya kuziunda kwake, ujenzi wake wa aina tofauti na uliozoeleka. Mafunzo tunatoa kwenye kituo chetu kilichopo Misugusugu, Kibaha, Pwani.

View attachment 2298028

Hizo 👆🏾 zinaitwa Abraar hollow blocks.
Hongera! Hakikisha ratio inakuwa ya maana vinginevyo utavunja nyumba za watu!
 
Mbona kama unapaniki? Niambie mafundi umeme na maji wakitindua ukuta ubora wa hizo tofali ukoje? Weka gharama zake kwa kila tofali ni bei gani kuuzwa au kufyatulia site bei huwa tsh ngapi!
Mfuko mmoja makadirio zinatoka ngapi kwa resho Kali ,
Ujenzi wa vipande kwenye maungio ukoje! Kwenye rinta hayo matundu mnayaziba na nini ili zege lisipitilize chini kwenye matundu ya tofali n.k

Hayo ndiyo yakuongea ili kuuza bidhaa yako
Kaka hayo matofali ni mazuri usiulize maswali mengi mwambie akionesha nyumba iliyojengwa hayo matofali ili ukague mimi baadae ntakutumia picha uone
 
1. "Abraar Hollow Blocks".

Abraar Education Centre licha ya kutoa mafunzo ya kuunda bidhaa za ujenzi pia ni waundaji wa bidhaa za ujenzi za kipekee zente ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.

Leo tunaanza kuwaletea aina ya bidhaa zetu tunazounda. Licha ya kuziunda bidha hizi, pia tunafundisha namna ya kuziunda kwake, ujenzi wake wa aina tofauti na uliozoeleka. Mafunzo tunatoa kwenye kituo chetu kilichopo Misugusugu, Kibaha, Pwani.

View attachment 2298028

Hizo 👆🏾 zinaitwa Abraar hollow blocks.
Ziko kwa wenzetu zikianza kuzalishwa bongo nyumba zitatulalia bila warning
 
Unaweza ukayaongea interlocking pia yaani yanakuwa na bibi na Bwana so hayahitaji cement Ili kuyaunganisha yanajilock yenyewe then unapiga plaster so unakuwa umeokoa gharama za cement
Tutafikia huko, sisi tuna blocks ambazo zimeenda mbele zaidi ya interlocking, hizi zetu ni autolocking, ni za kipekee kwa Tanzania, hakuna mwengine anaziunda mpaka sasa. Hazina haja ya mortar kila kozi wala hazihitaji plaster kuzinyoosha. kuzijengea kwake ni hata "fundi Maiko" utamuona ni super fundi. Yeyote anaweza kua fundi wa kuzijengea kwa mafunzo ya nusu saa tu. Ni blocks "zilizoenda shule"

Tukifikia utaziona, sasa bado tupo stage ya bidhaa za kwenye msingi.

Ukipenda kuziona kabla tutumie whatsapp 0625249605.
 
Tutafikia huko, sisi tuna blocks ambazo zimeenda mbele zaidi ya interlocking, hizi zetu ni autolocking, ni za kipekee kwa Tanzania, hakuna mwengine anaziunda mpaka sasa. Hazina haja ya mortar kila kozi wala hazihitaji plaster kuzinyoosha. kuzijengea kwake ni hata "fundi Maiko" utamuona ni super fundi. Yeyote anaweza kua fundi wa kuzijengea kwa mafunzo ya nusu saa tu. Ni blocks "zilizoenda shule"

Tukifikia utaziona, sasa bado tupo stage ya bidhaa za kwenye msingi.

Ukipenda kuziona kabla tutumie whatsapp 0625249605.
Pia pana hii technology ya precast nayo ianzisheni nchini inasaidia kupunguza mda wa kujenga nyumba, nyumba unaweza ukajenga kwa siku tatu tu unahamia inapunguza mda wa kujenga then umwagilie then usibirie kukauke ndo upandishe kozi zingine uchukua miezi 3 nyumba ikamilike SAsa kwa mtu aliye nje ya nchi kaja likizo ya mwezi mmoja precast technology economy kwake kwa maana ndani ya siku 3 hadi wiki moja nyumba imekamilika.
 
Ziko kwa wenzetu zikianza kuzalishwa bongo nyumba zitatulalia bila warning
Tunashukuru, sisi tumekua wa awali awali kabisa kuanza kuzalisha Tanzania bidhaa aina nyingi zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.

Tunazalisha na kutoa mafunzo bure ili viwe ni vitu vya kawaida, tunataka kufanya mabadiliko ya ujenzi Tanzania ili kila Mtanzania aelewe kua anaweza kujenga bila jasho.

Tuachane na fikra za kujenga nyumba yankuishi mpaka tuwe na mamilioni ya dhillingi kwa pamoja.

Abraar Education Centre tunakuwezesha kujenga kwa ubora wa hali ya juu na kwa gharama nafuu kabisa.
 
Precast wall technology, hii ni ya concrete cement,sand,and gravel me taleta ya plastic mix sand.
 

Attachments

  • Screenshot_20220725_064545.jpg
    Screenshot_20220725_064545.jpg
    105.5 KB · Views: 48
  • Screenshot_20220725_064558.jpg
    Screenshot_20220725_064558.jpg
    77.8 KB · Views: 44
  • Screenshot_20220725_064621.jpg
    Screenshot_20220725_064621.jpg
    85.5 KB · Views: 42
Pia pana hii technology ya precast nayo ianzisheni nchini inasaidia kupunguza mda wa kujenga nyumba, nyumba unaweza ukajenga kwa siku tatu tu unahamia inapunguza mda wa kujenga then umwagilie then usibirie kukauke ndo upandishe kozi zingine uchukua miezi 3 nyumba ikamilike SAsa kwa mtu aliye nje ya nchi kaja likizo ya mwezi mmoja precast technology economy kwake kwa maana ndani ya siku 3 hadi wiki moja nyumba imekamilika.
Hilo lako ni wazo jema kabisa.

Tayari precast inafanyika kwetu kwa kiwango fulani. Inabidi tuipeleke mbele kwa haraka zaidi.

Kwa sasa Abraar Education Centre kwa bidhaa zetu, tuna uwezo wa kujenga nyumba kamili mpaka kuezeka kwa wiki mbili (kasoro finishing).
 
Bei za vifaa vya ujenzi kuwa juu ni fursa kwa kama mtu ni mbunifu wa kuja na technology mbadala wa vifaa vya ujenzi watu wamekariri cement, nondo, bati, misumari kwamba ni lazima, technology ya ujenzi imeadvanve Sana unaweza ukajenga nyumba bora zaidi pasipo hitaji kutumia cement, nondo, nk zipo mbadala nyingi Sana tena kwa gharama nafuu zaidi, kuanzia ukuta, msingi na viezekeo tena bora na udumu mda mrefu kuliko bati.
 
Tunashukuru, sisi tumekua wa awali awali kabisa kuanza kuzalisha Tanzania bidhaa aina nyingi zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.

Tunazalisha na kutoa mafunzo bure ili viwe ni vitu vya kawaida, tunataka kufanya mabadiliko ya ujenzi Tanzania ili kila Mtanzania aelewe kua anaweza kujenga bila jasho.

Tuachane na fikra za kujenga nyumba yankuishi mpaka tuwe na mamilioni ya dhillingi kwa pamoja.

Abraar Education Centre tunakuwezesha kujenga kwa ubora wa hali ya juu na kwa gharama nafuu kabisa.
Shule nilosoma ila hollow bricks ilijengwa na wamissionary so nadhani nyie si wa kwanza
 
Back
Top Bottom