Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Mm nataka kwajili y fensi je ni aina ipi itanifaa? Na bei gani
Blocks zetu zote zinafaa kwa fenze au ukuta wa nyumba, inabidi utujibu maswali machache ili tukupe ushauri wenye manufaa:

Fence yako ina face barabara pande zote?

Fence yako itakua na nyumba au vyumba Vya kuishi watu au mifugo?

Fence yako Kutakua na chumba cha ulinzi (guard house au hakuna) chenye watch tour?

Kuna tofari za very high tech, tunazo Abraar pekee kwa sasa...

IMG-20220718-WA0058.jpg
IMG-20220718-WA0056.jpg
IMG-20220718-WA0057.jpg
IMG-20220718-WA0053.jpg
IMG-20220718-WA0049.jpg
IMG-20220718-WA0034.jpg
IMG-20220718-WA0033.jpg


Hizo full block @2,000
Half block @1,000
Gable block @ 1,000
Corner block # 3,000
.
IMG-20220718-WA0025.jpg



Hazihitaji plaster wala mortar kuzijengea, ni autolocking system.

Tunaziunda unapotupa order tu.
 
R
Blocks zetu zote zinafaa kwa fenze au ukuta wa nyumba, inabidi utujibu maswali machache ili tukupe ushauri wenye manufaa:

Fence yako ina face barabara pande zote?

Fence yako itakua na nyumba au vyumba Vya kuishi watu au mifugo?

Fence yako Kutakua na chumba cha ulinzi (guard house au hakuna) chenye watch tour?

Kuna tofari za very high tech, tunazo Abraar pekee kwa sasa...

View attachment 2311335View attachment 2311336View attachment 2311337View attachment 2311338View attachment 2311339View attachment 2311340View attachment 2311341

Hizo full block @2,000
Half block @1,000
Gable block @ 1,000
Corner block # 3,000
.
View attachment 2311342


Hazihitaji plaster wala mortar kuzijengea, ni autolocking system.

Tunaziunda unapotupa order tu.
kawombe Tumezitumia Blocks hizi kubuni ngazi na ujenzi wa ngazi zenye bora wa hali ya juu, Ulaya walipoiona picha ya ngazi zetu wakatupa tuzo, pitia hapa uione; Darasa la ujenzi la Madrassatul Abraar latunukiwa Tuzo ya ubunifu wa ujenzi kutoka Shirika la Uingereza
 
Blocks zetu zote zinafaa kwa fenze au ukuta wa nyumba, inabidi utujibu maswali machache ili tukupe ushauri wenye manufaa:

Fence yako ina face barabara pande zote?

Fence yako itakua na nyumba au vyumba Vya kuishi watu au mifugo?

Fence yako Kutakua na chumba cha ulinzi (guard house au hakuna) chenye watch tour?

Kuna tofari za very high tech, tunazo Abraar pekee kwa sasa...

View attachment 2311335View attachment 2311336View attachment 2311337View attachment 2311338View attachment 2311339View attachment 2311340View attachment 2311341

Hizo full block @2,000
Half block @1,000
Gable block @ 1,000
Corner block # 3,000
.
View attachment 2311342


Hazihitaji plaster wala mortar kuzijengea, ni autolocking system.

Tunaziunda unapotupa order tu.
Barabara iko upande mmoja
Ndio ndani kuna nyumba ya kuishi.
Hakuna nyumba ya mlinzi.
Je yepi yatanifaa kwa fence
Asante
 
Barabara iko upande mmoja
Ndio ndani kuna nyumba ya kuishi.
Hakuna nyumba ya mlinzi.
Je yepi yatanifaa kwa fence
Asante
Yote yanafaa kwa fence.

Utapenda fence iwe yote imeziba au iwe nusu kwa chini imeziba kabisa na juu ina viuwazi vy kiaina?

Kwa ufupi, mbele tungekushauri utumie hizi high tech blocks kwa kua zina urembo wa kipekee wa asili, zinapendeza sana, na nyuma ziwe hollow blocks. Ukitupa vipimo tutaweza kukupa estimation za vifaa vyetu tofauti.

Pia tunakushauri utumie mchoraji ili akuchoree kiutaalaam na vigezo vinavyokubalika kikanusi za ujenzi ili iwe wepesi kwako kupata kibali cha ujenzi wa fence.

Unaweza kuwasiliana nasi kwa details zaidi kwa whatsapp 0625249605.
 
Hapo ni msingi wa kuta huo.

Ujenzi wetu huanza kwa namna ya kipekee, huwa tunaanz akwa nguzo zinazotumia blocks spesho za kujengea nguzo, hizi nguzo kwa hatua ya mwanzo huishia kwenye kimo cha sakafu, kama ujioneavyo hapa chini...

View attachment 2313176View attachment 2313177View attachment 2313178View attachment 2313179
Ubora wa hali ya juu unajionesha wazi mara tu tunapoanza kujenga msingi kwa vifaa vyetu spesho, kama tunavyojionea kwenye hizo picha. (A picture can tell thousand words).

Ujenzi wetu wote huanza na hizo nguzo za kwenye msingi (pilot colums) katika kila pembe ya ya msingi.

Ujenzi wa nguzo uliozoeleka hapa Tanzania, hapo angetafutwa kwanza fundi mbao, kungekua na gharama za ununuzi wa mbao, gharama za ringi, gharama za kumwaga zege (kama ilivyozoeleka zege halilali) na ingetulazimu kunyanyua nguzo mpaka juu. Lakini kama muonavyo ujenzi wetu huo, nguzo safi kabisa na zina vigezo vyote vya ubora zinaanza hata kwa nusu meter na zinaendelea kupanda ikihitajika kupanda bila tatizo na uimara unabaki pale pale au kuongezeka.

Abraar Education Centre tumeleta mageuzi ya ujenzi Tanzania. Kila mmoja wetu ana haki ya kujenga nyumba yenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.
 
Hoja kama hizi zinamharibia mwenye chuo badala ya kumjenga.

Btw, mama umri unakusumbua inabidi watu tukuvumilie tu hakuna namna..
Kwanini ukasema hivyo? Naona kauliza swali valid kabisa.
 
Wabongo mnashida sana....wamisionary waliacha hydro ram pump ambayo haitumii umeme kupandisha maji lakini hamtaki kuzitumia. Mnabaki kukejeli tu! Mnaniudhi.
Hii niliikuta Njombe sehemu moja inaitwa Lwanzali, Kila nikitafuta namna yakuipata
Nagonga mwamba.

Mkuu, kama una connection ya hizo mashine ,tafadhali niunganishe.
 
Ukwanza, nikuipereka bidha sokoni, na kuulemisha juu ya matumizi yake.

Hivyo ni wakwanza kuifanya ijulikane kwa watu nakuifikisha kwa kwa waitaji, tofauti na hiyo Shule, ilikua kwa matumizi Yao TU.
Mnspatikana wapi mkuu , zimefanyiwa quality check ama unazimwaga sokoni from the blue
 
Bado hujajibu, je hizi tofali kwenye kutindua ili upitushe bomba za maji na usuke wiring unafanyaje si kazi itakuwa ngumu sana?
You are right. Wanaotumia tofari hizo hawatumii maji wala hawatumii umeme.
 
Cost bado zinakuwa juu
Ina maana unatakiwa kuajiri mafundi wawili fundi maiko wa ujenzi na huyo mwenye Generator na grinder na Angle cutter .Kazi ambayo angefanya fundi mmoja mwenye nyundo inafanywa na watu kibao.Wenye mashine na majenereta Majenerata bei za mafuta ziko juu mno bado uwalipie usafiri wakati fundi nyundo mngemalizana tu kwa bei ile ile ya kazi tu ya kuweka nyaya au bomba hakuna extra cost za utinduaji
Ndugu unaahirisha sherehe kwa sababu pilau imekosa kachumbari ?
Tumia common sense
 
Kwa bomba za umeme si inashushwa moja kwa moja kwenye outlet kupitia hizo hollow gaps ila kwa maji labda plaster iwe pana kidogo kwaajili ya kuyafunika
Kuna picha tumeweka juu huko zinavyowekwa. Ni wepesi sana kuliko tunavyofikiria.
 
Back
Top Bottom