Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Wakati wa plumbing ungetuoneshabkwa picha bomba zinawekwaje pamoja na bomba za umeme, na kwa unene wa hizo tofali ukidrill kutundika kitu chenye zaidi ya KG25 kama water heater za Astron utaweza kuhimili?
Switch socket za umeme box yake inakaaje?
Maswali ya msingi sana haya, ila majibu yanayokuja sasa, daah..
 
Nimehangaika kuscrol nikutane na jibu la msingi, nakutana na jibu la kipumbavu namna hii.
Huja scroll vizuri, huo uusemao "upumbavu" ndicho kilichofanyika post namba 103.

Kajibiwa mpaka kwa picha kama alivyoahidiwa, upumbavu hapo ni wako, kipi hapo kilichokufanya mpaka uuingize "upumbavu"? Jibu mbona lipo clear na mwaliko kapata?
 
Imebidi nikukate baadhi ya maandiko yako niache yale maswali ya msingi tu, kwani mengine uliyoyaandika hayahusiani na ujenzi na mengine tumeshakujibu juu huko.

Hizo blocks ukifika unapoishia msingi wako tu, inapokua sakafu yako (floor level), wakati unayajenga, kwa wale ambao hawayajazoea sana wanayapindua juu chini, inakua unajenga kama tofari zilizozoeleka, matundu yake hayajapitiliza pande zote. Kwa wale wazoefu wa kuyatumia wanayajenga bila kuyageuza, wanapitisha cement ya mortar (mota) bila kuiingiza kwenye matundu. Utapenda kuwatazama wakiwa kazini.
Hili kweli ndo jibu la swali alilouliza? Au mimi ndo sijaelewa?

Swali kutoka kwenye jibu lako?
Wakishayapindua na kujenga kama tofali zilizozoekeka, plasta inakuaje?

Wakijenga wazoefu, wakapitisha mota bila kuingiza kwenye matundu, kwenye linta zinafanywaje? Ameuliza sana mhusika, namimi nimerudia, sio dhambi.

NB:
Majibu ya janja janja yanaibua maswali zaidi.
 
Hili kweli ndo jibu la swali alilouliza? Au mimi ndo sijaelewa?

Swali kutoka kwenye jibu lako?
Wakishayapindua na kujenga kama tofali zilizozoekeka, plasta inakuaje?

Wakijenga wazoefu, wakapitisha mota bila kuingiza kwenye matundu, kwenye linta zinafanywaje? Ameuliza sana mhusika, namimi nimerudia, sio dhambi.

NB:
Majibu ya janja janja yanaibua maswali zaidi.
Kauliza mengi hapo tumejibu kipande hicho cha kufika "rinta", iyakua wewe ndio hujaelewa hilo jibu, kama ambavyo ulikuwa hujayaelewa hapo juu kua swali lilijibiwa mpaka kwa picha, ukaleta "upumbavu". Hakuna janja janaja kweye ufundi bora, majibu yapo straight forward, kama kuna ambacho hujaelewa, uliza tu, usitake kukisia. Yeye hajaulizia kuhusu plaster.

Plasta inakuaje vipi? Sasa wewe swali lako ndilo sijalielewa.
 
Kauliza mengi hapo tumejibu kipande hicho cha kufika "rinta", iyakua wewe ndio hujaelewa hilo jibu, kama ambavyo ulikuwa hujayaelewa hapo juu kua swali lilijibiwa mpaka kwa picha, ukaleta "upumbavu". Hakuna janja janaja kweye ufundi bora, majibu yapo straight forward, kama kuna ambacho hujaelewa, uliza tu, usitake kukisia. Yeye hajaulizia kuhusu plaster.

Plasta inakuaje vipi? Sasa wewe swali lako ndilo sijalielewa.
HAkuna jibu la maana ulilotoa!
Lakini ngoja niwashauri wadau!
KWA MTU AMBAYE HANA PESA ZA KUJENGA KWA MKUPUO yaani ( boma, umeme, plumbing n.k) Si mshauri hata kidogo atumie hizo tofali, Kuna fumbo limefichwa hapo ndiyo maana wahusika wakali balaa wakiulizwa mambo ya msingi!

Je; ni wapi tofali hizi zinafaa?

Maeneo ambayo tofali hizi zinaweza kutumika kwasasa kuepukana na changamoto ni kujenga UZIO TU au kumbi ambazo hazihitaji mnyumbuliko wa bomba!

UKISHUPAZA SHINGO Usielewe ushauri wangu ukaamua kujengea nyumba basi jiandae na yafuatayo
1. Lazima wakati wa ujenzi wa tofali hizi mafundi wote wa fani mhimu kama maji na umeme wawepo ili kuweka miundombinu (hii ni gharama ya mpigo)
2 .inatakiwa material ya umeme na mabomba yawepo site ( ujenzi wa mpigo unahitaji bajeti)
3. Lazima saiti kuwe na umeme au jenereta kuwasha grenda ( inaongeza gharama)
4. Mafundi makini zaidi kukujengea (wana bei zaidi)
5. Endapo kukitokea mabadiliko au hitilafu ni ngumu kufanya marekebisho
6. Zinahitaji muda mwingi (labour charge ni kubwa)
7. Kwenye majengo marefu Ufungaji majukwaa kwa ajili ya plaster na finishing ni mgumu kidogo ukitumia mbao, labda kukodo majukwaa spesho

Faida za tofali hizi
1. Nyepesi (kupunguza uzito)
2. Mfuko unapata tofali nyingi kiasi
3. Hazitunzi joto
4. Siyo lazima kufanya plaster
5. Zinafaa sana kujengea uzio na mabanda

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE kama una hela ya mawazo usijichanganye kwenye hizo tofali HAINA MAANA NI MBAYA HAPANA BALI Maboresho yanahitajika ili kuongeza mnyumbuliko wa kazi
 
HAkuna jibu la maana ulilotoa!
Lakini ngoja niwashauri wadau!
KWA MTU AMBAYE HANA PESA ZA KUJENGA KWA MKUPUO yaani ( boma, umeme, plumbing n.k) Si mshauri hata kidogo atumie hizo tofali, Kuna fumbo limefichwa hapo ndiyo maana wahusika wakali balaa wakiulizwa mambo ya msingi!

Je; ni wapi tofali hizi zinafaa?

Maeneo ambayo tofali hizi zinaweza kutumika kwasasa kuepukana na changamoto ni kujenga UZIO TU au kumbi ambazo hazihitaji mnyumbuliko wa bomba!

UKISHUPAZA SHINGO Usielewe ushauri wangu ukaamua kujengea nyumba basi jiandae na yafuatayo
1. Lazima wakati wa ujenzi wa tofali hizi mafundi wote wa fani mhimu kama maji na umeme wawepo ili kuweka miundombinu (hii ni gharama ya mpigo)
2 .inatakiwa material ya umeme na mabomba yawepo site ( ujenzi wa mpigo unahitaji bajeti)
3. Lazima saiti kuwe na umeme au jenereta kuwasha grenda ( inaongeza gharama)
4. Mafundi makini zaidi kukujengea (wana bei zaidi)
5. Endapo kukitokea mabadiliko au hitilafu ni ngumu kufanya marekebisho
6. Zinahitaji muda mwingi (labour charge ni kubwa)
7. Kwenye majengo marefu Ufungaji majukwaa kwa ajili ya plaster na finishing ni mgumu kidogo ukitumia mbao, labda kukodo majukwaa spesho

Faida za tofali hizi
1. Nyepesi (kupunguza uzito)
2. Mfuko unapata tofali nyingi kiasi
3. Hazitunzi joto
4. Siyo lazima kufanya plaster
5. Zinafaa sana kujengea uzio na mabanda

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE kama una hela ya mawazo usijichanganye kwenye hizo tofali HAINA MAANA NI MBAYA HAPANA BALI Maboresho yanahitajika ili kuongeza mnyumbuliko wa kazi
Hapa ni muonekano wa kifaa cha kipekee cha kipaa (roofing) na dari (ceiling slab ) kwa pamoja. Kinaitwa Abraar waffle roofing/ceiling slab kinatumika kwenye mpango wa ujenzi wa Abraar Bricks Nyumba kwa wote...

IMG-20220725-WA0080.jpg
IMG-20220726-WA0084.jpg
IMG-20220725-WA0068.jpg
 
Mkuu, ni uamuzi wako kutosema bei. Ila nakukumbusha kuwa kuna teknojia nyingine pia zilikuja kwa jina la kupunguza gharama na muda wa ujenzi ambazo ni 1. hydraform bricks, EPS/Megapanel na Moladi lakini walaji wameshindwa kuona maajabu yake na kupelekea kupotea sokoni. Maana kwa watanzania tulio wengi, Muda/Time sio issue kubwa, ndio maana huwa tunajenga course 4 kisha tunapumzika, unajikuta tunamaliza nyumba kwa miaka zaidi ya mi2. Ila hiyo teknolojia yako inataka ukija site upige tofali zote ndio uondoke. Wakati kwa traditional method huwa tunanunua tofali hata 200 fundi anajenga kisha tunasimama.

Lakini pia kwa nini unasema bidhaa zenu zinajiuza zenyewe hakuna haja ya kumshawishi mtu. Ni kweli ????? Ulikuwa na lengo gani kuja huku JF na kuanzisha uzi?

Wish you all the best mkuu. Na ngoja niendelee kunywa mtori kwanza, maana nyama nitazikuta kwa chini

Lengo ni kutoa taarifa siyo kuuza.
 
HAkuna jibu la maana ulilotoa!
Lakini ngoja niwashauri wadau!
KWA MTU AMBAYE HANA PESA ZA KUJENGA KWA MKUPUO yaani ( boma, umeme, plumbing n.k) Si mshauri hata kidogo atumie hizo tofali, Kuna fumbo limefichwa hapo ndiyo maana wahusika wakali balaa wakiulizwa mambo ya msingi!

Je; ni wapi tofali hizi zinafaa?

Maeneo ambayo tofali hizi zinaweza kutumika kwasasa kuepukana na changamoto ni kujenga UZIO TU au kumbi ambazo hazihitaji mnyumbuliko wa bomba!

UKISHUPAZA SHINGO Usielewe ushauri wangu ukaamua kujengea nyumba basi jiandae na yafuatayo
1. Lazima wakati wa ujenzi wa tofali hizi mafundi wote wa fani mhimu kama maji na umeme wawepo ili kuweka miundombinu (hii ni gharama ya mpigo)
2 .inatakiwa material ya umeme na mabomba yawepo site ( ujenzi wa mpigo unahitaji bajeti)
3. Lazima saiti kuwe na umeme au jenereta kuwasha grenda ( inaongeza gharama)
4. Mafundi makini zaidi kukujengea (wana bei zaidi)
5. Endapo kukitokea mabadiliko au hitilafu ni ngumu kufanya marekebisho
6. Zinahitaji muda mwingi (labour charge ni kubwa)
7. Kwenye majengo marefu Ufungaji majukwaa kwa ajili ya plaster na finishing ni mgumu kidogo ukitumia mbao, labda kukodo majukwaa spesho

Faida za tofali hizi
1. Nyepesi (kupunguza uzito)
2. Mfuko unapata tofali nyingi kiasi
3. Hazitunzi joto
4. Siyo lazima kufanya plaster
5. Zinafaa sana kujengea uzio na mabanda

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE kama una hela ya mawazo usijichanganye kwenye hizo tofali HAINA MAANA NI MBAYA HAPANA BALI Maboresho yanahitajika ili kuongeza mnyumbuliko wa kazi
Cold-Water-In-1.jpg


Hakuna wepesi na ubora na urahisi kuweka bomba ziwe za maji safi au maji taka au za umeme kama kuweka kwenye hollow blocks.

Kazi yake inakua safi na nyepesi kuliko tofari solid ulizozioea wewe.
 
Sisi wa mikoani tunacomment wapi?
Tena umeuliza swali zuri sana.

Wengi sana wanaulizia kua mawakala mikoani lakini bado tunajadili na kuchambua mpaka tupate ataelibeba jina la Abraar kwa ubora wake. We sell quality not quantity.

Uliza tu, In shaa Allah zitafika mikoani haraka sana.
 
Back
Top Bottom