Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

Tumia angle cutter ama angle grinder! Achana na nyundo.
Unaongelea maeneo yenye umeme tayari
Utatumia hivyo vifaa eneo ambalo umeme haujafika?.lakini unataka kuweka waya na mabomba

Nyundo ni cheap kuliko hayo madude ya angle cutter na grinder

Sababu gharama zinaongezeka za umeme tofauti na kutumia nyundo

Nyundo cost ya umeme haipo
 
Unaongelea maeneo yenye umeme tayari
Utatumia hivyo vifaa eneo ambalo umeme haujafika?.lakini unataka kuweka waya na mabomba

Nyundo ni cheap kuliko hayo made

Sababu gharama zinaongezeka za umeme tofauti na kutumia nyundo

Nyundo cost ya umeme haipo
Lakini Cost ya umeme inaweza kufidiwa kwa pungizo la gharama ya matofali yenyewe (punguzo 40-60%), sas kwenye punguzo utumia 4% kuleta generator hapo ukafanya kazi ya kukata kwa mashine kuna ubaya pia?
 
Lakini Cost ya umeme inaweza kufidiwa kwa pungizo la gharama ya matofali yenyewe (punguzo 40-60%), sas kwenye punguzo utumia 4% kuleta generator hapo ukafanya kazi ya kukata kwa mashine kuna ubaya pia?
Cost bado zinakuwa juu
Ina maana unatakiwa kuajiri mafundi wawili fundi maiko wa ujenzi na huyo mwenye Generator na grinder na Angle cutter .Kazi ambayo angefanya fundi mmoja mwenye nyundo inafanywa na watu kibao.Wenye mashine na majenereta Majenerata bei za mafuta ziko juu mno bado uwalipie usafiri wakati fundi nyundo mngemalizana tu kwa bei ile ile ya kazi tu ya kuweka nyaya au bomba hakuna extra cost za utinduaji
 
Kwenye uzi mzuri kama huu; inasikitisha utaona kuna watu wana AKILI ZA KIMASIKINI sana!

Hawajui kupongeza,
Hawajui kukosoa,
Hawajui kuelekeza...

Ila wapo kujifanya WAJUAJI!!!

Nampongeza dmkali ameuliza maswali chokozi ambayo ni ya msingi sana.

Kwa majibu ya mleta mada na wachangiaji wengine, basi mtu yeyote makini hapa anatoka na kitu!
Nimeuliza kwa lengo zuri tu ila nikajibiwa kwa ukali kama vile ni kosa kuuliza;
1. Nimeuliza bei ya block anauzaje, sijajibiwa
2. Nimeuliza kuja kufyatulia site bei gani kwa block (excluding usafili) sijajibiwa
3. Nimeuliza hizo block mafundi umeme wanazitindua au hazitinduliki sijajibiwa nikaambiwa mnoko
4. Nikauliza mafundi bomba wanaweza pitisha mabomba kwa urahisi au maji yanapita dalini sijajibiwa
5. Nimeuliza kwenye Rita hayo matundu hutakiwa kuzibwa ili zege limiminwe? Pasipo kumwagikia ndani sijajibiwa
6. Nimeuliza gharama zikoje effective kwa watu wanaojenga kwa awamu, na je mafundi wetu wa mtaani wanaweza au hadi tuagize fundi misugusugu Sijajibiwa
7. Maungio na kona mkato wa sambusa vipande vyake vinaunganishwa au tofali hizi hazinaga vipande sijajibiwa
8. Nikauliza hizi tofali zina toa ngapi kwa mfuko mmoja kwa ratio standards sijajibiwa!

Sasa sijui kwanini watu wakali na bidhaa zao! Hii inanipa walakini ingawa nashida!
Bongo mtu anatengeneza kitu ili auze lakini ajabu hataki maswali kama vile kaunda bibilia!
 
Nimeona hiyo,sasa baada ya hapo si unamwaga zege?
Zege humwagi unaliingiza kwa mwiko tu kwenye tundu zinapopita nondo tu. Inatumia zege kidogo sana ukilinganisha
IMG-20220718-WA0059.jpg
IMG-20220718-WA0070.jpg
na ujenzi wa nguzo za kawaida.

Ngoja nitafute picha zake, utajionea.

Ukitutumia whatsapp inakua wepesi kwetu kukutumia video cIips.
 
Huna ulilojibu mkuu!, Kwan huwa mnapewa masharti na waganga kuwa msitaje bei na mengineyo au?

Jamaa kaulizia Bei zake zipoje, unakwepa kwepa tu, ndio tatizo ya biashara za masharti ya sangoma
Tumejibu mengi sana. Labda hujatusoma vizuri.

Bei ya kifaa kipi na cha kujengea nini atayopenda kujua? Labda wewe umemuelewa vizuri utufahamishe nasi tuweze kumpa bei.

Sekta ya ujenzi sio kama kununua vitumbua au mandazi au kwenda kwa mganga wa kienyeji.

Hapa kwetu, hatupo kibiashara ya kuuza tu vifaa, ukitaka bei ya kitu lazima tujue kua bidhaa hiyo uitakayo kwa kazi fulani ndio uipatayo. Blocks zinaweza kua na muonekano mmoja lakini ni za aina tofauti na ujenzi tofauti.

Sababu kuu, hapa kwetu kila kifaa kinachonunuliwa ni "money back guarantee no questions asked".

Karibu sana, nakushauri tumia lugha nzuri. Ujuba hautatusaidia kitu zaidi ya kuanza malumbano yasio na maana.

Kwa kukufahamisha tu, vingine humu tunagawa bure, havina bei.
 
Mwakani rasm production itaanza
Kama nilivyokufahamisha juu huko, sisi tumeanza kukusanya Raw materials za kuunda blocks za mchanganyiko wa plastic na vinginevyo. Kama una ujuzi au fikra zozote kwenye hayo, njoo tutembelee tubadilishane mawazo.
 
Nimeona hiyo,sasa baada ya hapo si unamwaga zege?
Kama nilivyokuahidi juu hapo kua nitakutafutia picha ujionee. Nimeipata.

Kama unavyojionea chini hapa, zege linawrkwa kwenye hizobtundu ndogo tu za kupitisha nondo, sehemubkubwabya kati haihitajiki kuwekwa zege kwa nyumba mpaka ya ghorofa mbili.

IMG-20220718-WA0070.jpg

Ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu. Ujenzi kwa kutumia Abraar column blocks unaokoa sana gharama ya vifaa na ufundi. Nguzo zinanyooka.

IMG-20220718-WA0060.jpg

Abraar column blocks.
 
Nimeuliza kwa lengo zuri tu ila nikajibiwa kwa ukali kama vile ni kosa kuuliza;
1. Nimeuliza bei ya block anauzaje, sijajibiwa
2. Nimeuliza kuja kufyatulia site bei gani kwa block (excluding usafili) sijajibiwa
3. Nimeuliza hizo block mafundi umeme wanazitindua au hazitinduliki sijajibiwa nikaambiwa mnoko
4. Nikauliza mafundi bomba wanaweza pitisha mabomba kwa urahisi au maji yanapita dalini sijajibiwa
5. Nimeuliza kwenye Rita hayo matundu hutakiwa kuzibwa ili zege limiminwe? Pasipo kumwagikia ndani sijajibiwa
6. Nimeuliza gharama zikoje effective kwa watu wanaojenga kwa awamu, na je mafundi wetu wa mtaani wanaweza au hadi tuagize fundi misugusugu Sijajibiwa
7. Maungio na kona mkato wa sambusa vipande vyake vinaunganishwa au tofali hizi hazinaga vipande sijajibiwa
8. Nikauliza hizi tofali zina toa ngapi kwa mfuko mmoja kwa ratio standards sijajibiwa!

Sasa sijui kwanini watu wakali na bidhaa zao! Hii inanipa walakini ingawa nashida!
Bongo mtu anatengeneza kitu ili auze lakini ajabu hataki maswali kama vile kaunda bibilia!
Kuhusu suala la bei wanasema ujenzi' huu unapunguza gharama kati ya asilimia 40 mpaka 60. Tukichukulia punguzo la chini na tukasema tofali peke kupunguza asilimia ishirini ukizingatia Kuna punguzo la ufundi, Maji, cement nakadhalika. Basi yawezekana, tofali ni shilingi 800 kwa kipimo cha bei ya 1000 kwa tofali la kawaida la inchi 5!!!
Mkuu nimejiongeza tu kukisia bei.
 
Unaongelea maeneo yenye umeme tayari
Utatumia hivyo vifaa eneo ambalo umeme haujafika?.lakini unataka kuweka waya na mabomba

Nyundo ni cheap kuliko hayo madude ya angle cutter na grinder

Sababu gharama zinaongezeka za umeme tofauti na kutumia nyundo

Nyundo cost ya umeme haipo
Siku hizi kuna vifaa vya ujenzi, alivyovitaja mchangiaji hapo juu, vinatumia battery ya kujaza umeme kama vile simu. Kazi zimerahisishwa na zinakua nyepesi sana ukitumia nyenzo za kazi.

Sisi tunajenga na tunatumia tindo, lakini kuna tindo zake, si kila tindo, tunatumia vifaa vya imeme hata sehemu ambazo hakuna umeme, vinatumia battery, vingine ukivijaza mara moja unatumia siku nzima ya kazi.

Pia haishauriwi kwenye ujenzi kuanza kubomoa bomoa kwa kwa kubamiza na nyundo na tindo bila mpango. Ukitaka jenzi bora ni lazima uwe na fundi bora anaefahamu kutumia vifaa bora.

Hapa Abraar Education Centre tunatoa mafunzo bure kwa mafundi na kwa wanaofikiria kujenga, mafunzo hayo yanahusisha kufahamu bidhaa ipi ujengee wapi na zana ipi inatumika wapi na vipi inapatikana.

Pia kama hiyo haitoshi, hapa kwetu kuna vifaa hivyohivyo vya ujenzi wakati unajenga unaviweka kabisa ambapo zitapita bomba za maji za umeme, haina haja ya kukatwa au kutobolewa ikisha jengwa.

Mfano mmoja ni huo hapo juu, tazama tulipoweka picha ya Abraar Column Blocks, utaona nondo zimepita kwenye tundu zake ambazo zipo tayari kutoka tunavypunda hizo blocks, pia kuna tundu kubwa kati ambalo unaweza kupitisha bomba za maji au umeme.

Ujenzi wa kisasa ni kujipoanga na kuelewa tu. Tusiwe na fikira kuwa kila tunachokielewa kwenye ujenzi ndicho hicho cha mwisho, tuwaulizewaliopo kwenye hi sekta kabla ya kufikia conclusion.

Tunapoendelea hapa kionesha vifaa vyetu vya ujenzi utaziona blocks ambazo hazihitaji hata kukatwa wakati wa ujenzi, tayari zimeshaundwa nzima, nusu, za kona, zina matundu ya kupisha utilities zote.

Tuvute subira, tuna mengi ya kujifunza.
 
Nimeuliza kwa lengo zuri tu ila nikajibiwa kwa ukali kama vile ni kosa kuuliza;
1. Nimeuliza bei ya block anauzaje, sijajibiwa
2. Nimeuliza kuja kufyatulia site bei gani kwa block (excluding usafili) sijajibiwa
3. Nimeuliza hizo block mafundi umeme wanazitindua au hazitinduliki sijajibiwa nikaambiwa mnoko
4. Nikauliza mafundi bomba wanaweza pitisha mabomba kwa urahisi au maji yanapita dalini sijajibiwa
5. Nimeuliza kwenye Rita hayo matundu hutakiwa kuzibwa ili zege limiminwe? Pasipo kumwagikia ndani sijajibiwa
6. Nimeuliza gharama zikoje effective kwa watu wanaojenga kwa awamu, na je mafundi wetu wa mtaani wanaweza au hadi tuagize fundi misugusugu Sijajibiwa
7. Maungio na kona mkato wa sambusa vipande vyake vinaunganishwa au tofali hizi hazinaga vipande sijajibiwa
8. Nikauliza hizi tofali zina toa ngapi kwa mfuko mmoja kwa ratio standards sijajibiwa!

Sasa sijui kwanini watu wakali na bidhaa zao! Hii inanipa walakini ingawa nashida!
Bongo mtu anatengeneza kitu ili auze lakini ajabu hataki maswali kama vile kaunda bibilia!
Mbona tumekujibu juu huko kwenye post namba 17. Tusome vizuri, hatufanyi kejeli wala ujuba kwemye kazi zetu. Hakuna swali ambalo hatujibu kwa kaddiri ya ufahamu wetu.


Labda umeuliza maswali mengi sana kwa pamoja, kama ni hivyo, inakua vigumu hata kukujibu yote kwa pamoja. Nakushauri, post moja uliza swali moja ili tukupe majibu kwa swali hilo tu. Tusiwe na haraka, tuna mengi ya kujifunza kutoka kwenye maswali yenu.
 
Kuhusu suala la bei wanasema ujenzi' huu unapunguza gharama kati ya asilimia 40 mpaka 60. Tukichukulia punguzo la chini na tukasema tofali peke kupunguza asilimia ishirini ukizingatia Kuna punguzo la ufundi, Maji, cement nakadhalika. Basi yawezekana, tofali ni shilingi 800 kwa kipimo cha bei ya 1000 kwa tofali la kawaida la inchi 5!!!
Mkuu nimejiongeza tu kukisia bei.
Uyasemayo nisahihi kabisa.

Ujenzi wetu unapunguza gharama kwa njia nyingi, kuu ni hizi...

1) Kwenye ubora wa vifaa vyetu, hatuna ushindani. Bidhaa yenye ubora huo huo wa kwetu huwezi kuipata kwa ei zetu.

2) Jinsi ya bidhaa zinavyotumika wakati wa ujenzi. Bidhaa zetu zote zimelenga kutumika kwa kazi zaidi ya moja kwenye ujenzi.

3) Kila hatua ya ujenzi ina aina yake yake ya kifaa kuzingatia kushusha gharama za ujenzi. Mfano, tofari ya kujengea msingi kwenye sehemu ya unyevu unyevu sio tofari ya kujengea msingi kwenye sehemu kavu.

Tofari ya kujengea kuta za nje sio sawa na tofari ya kujengea kuta za bdani (partitions).

Unafuu wa gharama kwenye ujenzi haupatikani kwa kutazama bei ya tofati moja moja, unafuu wa asilimia 40 mpaka 60 unakuja katika ujenzi wa nyumba kamili.

Mfano, tuna tofari ya zege ambayo tunaiuza moja kwa Shillingi 2,500 na tuna tofari ya zege kwa ratio hiyo hiyo tunaiuza kwa shiliingi 1,000. Utajiuliza vipi inakua hivyo? Tunapoendelea kuonesha bidhaa zetu hapa tutapata majibu.
 
Wakati wa plumbing ungetuoneshabkwa picha bomba zinawekwaje pamoja na bomba za umeme, na kwa unene wa hizo tofali ukidrill kutundika kitu chenye zaidi ya KG25 kama water heater za Astron utaweza kuhimili?
Switch socket za umeme box yake inakaaje?
 
Kama nilivyokufahamisha juu huko, sisi tumeanza kukusanya Raw materials za kuunda blocks za mchanganyiko wa plastic na vinginevyo. Kama una ujuzi au fikra zozote kwenye hayo, njoo tutembelee tubadilishane mawazo.
Hapa inatakiwa uwe na vifuatavyo
1.Collection center ya waste plastic.
Au unaweza nunua direct kwa wenye mashine za kusaga plastic.
Collection center supervision yake kwa nature ya committed ya SAsa waswahili mtihani kidogo japo utapata material kwa bei nafuu.
Wenye mashine za kusaga plastic Tani moja iliyosagwa uuza kuanzia milioni 1.2 hadi 1.4.
2.Mashine za kusaga plastic uagize china au India. Japo pana watu utengeneza
3.Mashine ya kuchanganya plastic, mchanga na rangi
4.Smelter plastic machine, mashine ya kupika mchanganyiko huo uwe uji uji.
5.Model press frame hii ni ya kutengeneza hizo tofali.
6.Curing chamber sehemu za kupoozea tofali.
End product ni tofali, pavers, vigae vya kuezekea, poles, lumber mbao za kujengea, na bidhaa zote za ujenzi hapa itategemea na frames model uzitakazo.
 
Wakati wa plumbing ungetuoneshabkwa picha bomba zinawekwaje pamoja na bomba za umeme, na kwa unene wa hizo tofali ukidrill kutundika kitu chenye zaidi ya KG25 kama water heater za Astron utaweza kuhimili?
Switch socket za umeme box yake inakaaje?
Hataki kujibu zaidi ya blaa blaa tu! Yuko tayali kueleza maelezo ya kujielezea kuliko kujibu maswali mhimu ambayo yangempa credit!

Nyumba siyo boma tu! Nyumba ni combination ya vitu vingi vya kuifanya ifae kuishi, umeme, maji , na uwezo wa kuhimili uzito, jua, mvua.n.k

Watu makini lazima wajilizishe na hivyo vitu VINGINEVO ASEME ni NI ZA KUJENGEA FENCE
 
Wakati wa plumbing ungetuoneshabkwa picha bomba zinawekwaje pamoja na bomba za umeme, na kwa unene wa hizo tofali ukidrill kutundika kitu chenye zaidi ya KG25 kama water heater za Astron utaweza kuhimili?
Switch socket za umeme box yake inakaaje?


kama kuna mbinu nyingine watatueleza.
 
Back
Top Bottom