Kuoga tu!!!.....wanalala nazo haoIna maana wanaoga nazo?
Umesema wakitoa bangili wanashikilia kichwa na sio bangiliView attachment 861464
Hawa wanawake wameweza kuzitoa bangili kwa msaada wa madamtari.
SiaminiView attachment 861514
Kila mila ina ufafanuzi wake kuhusu neno "Urembo"
Embu utuache,mana naona unatupeleka shimoniView attachment 861514
Kila mila ina ufafanuzi wake kuhusu neno "Urembo"
Hiyo shingo si amejikamua mpka umio limekosa nafasi ya kupitisha chakulaKivipi mkuu.
duh aisee huyu is too much....amevuka mipaka๐๐๐๐๐View attachment 861514
Kila mila ina ufafanuzi wake kuhusu neno "Urembo"