Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wanaume wetu wabongo kaaaAkivivua tu talaka.
Aisee ukikitana na huyu si unaweza ukazimia ukidhani ni jini? [emoji23] [emoji23]View attachment 861514
Kila mila ina ufafanuzi wake kuhusu neno "Urembo"
kisa na mkasaMada Ya Kipuuzi Kabisa Hii Kuwahi Kutokea!
Mm.nisingeolewa kwa sababu vitu vya bati au chuma ktk ngoxi yangu vinanisumbua sana na kunipa mateso mabayaaa.. DUNIANI KUNA MAMBO SANA TUTEMBEE TUONE.😂😂View attachment 861449
Mabinti vigoli wakiwa na bangili zao shingoni tayari kwa kuolewa.
Mkuu Konyagi zilivyonikolea nikajisahau nikapita chocho ndo kukutana na mateja yamepinda.Mkuu lmhotep na wewe ulikuwa umezivaa machoni? maana naona hapa kwenye avatar macho yanataka kuanguka, mkuu utapona kweli?
Dah, jinsi alivyo mrembo Urembo wote utaharibika.View attachment 861452
Huyu msichana ndio kwanza ameanza na bangili chache lakini kadiri anavyokuwa ndio pingili mpya huongezwa.
Kweli au photo shop.View attachment 861514
Kila mila ina ufafanuzi wake kuhusu neno "Urembo"
Nasikia na wanaume wao huwa wanarefusha sehemu zao za siti kwa kutumia bangili ndogo ndogo kwa hiyo sioni kama kuna haja ya kusisimuana wakati mkonga unatosha.Kwahiyo shingo zao hazijawahi kabisaaa kubusiwa?? Wanakosa raha hawaaa..