Zitambue Mila za ajabu za kabila la Kayan

Zitambue Mila za ajabu za kabila la Kayan

Hwa ukiwapiga chuma mboga ni watamu balaa!!
 
Mada Ya Kipuuzi Kabisa Hii Kuwahi Kutokea!
 
downloadfile.jpg

Hata sisi waafrika baadhi yetu tuliwa tunavutiwa na "urembo" wa aina yake kama huyu mwanamke wa kimakonde huko Songea 1959.
 
Mkuu lmhotep na wewe ulikuwa umezivaa machoni? maana naona hapa kwenye avatar macho yanataka kuanguka, mkuu utapona kweli?
 
Mkuu lmhotep na wewe ulikuwa umezivaa machoni? maana naona hapa kwenye avatar macho yanataka kuanguka, mkuu utapona kweli?
Mkuu Konyagi zilivyonikolea nikajisahau nikapita chocho ndo kukutana na mateja yamepinda.
Kiherehere changu cha kupita chocho za Tandika giza nene.
 
Kwahiyo shingo zao hazijawahi kabisaaa kubusiwa?? Wanakosa raha hawaaa..
Nasikia na wanaume wao huwa wanarefusha sehemu zao za siti kwa kutumia bangili ndogo ndogo kwa hiyo sioni kama kuna haja ya kusisimuana wakati mkonga unatosha.
 
Back
Top Bottom