Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Mmhh...mkonga peke ake hautoshi kusisimuana...wanamiss vitu hawa akyanani..Nasikia na wanaume wao huwa wanarefusha sehemu zao za siti kwa kutumia bangili ndogo ndogo kwa hiyo sioni kama kuna haja ya kusisimuana wakati mkonga unatosha.
Inasemekana kama umefanya kosa adhabu yako wanakuvua hizo bangili. utateseka sana coz zenyewe ndo kama egemeo/support ya hill shingoMtumeee, jamani ni kutesena tu walahi!
WanatishaView attachment 861860
Ukistaajabu ya Asia utayaona ya Afrika huu ni urembo wa kimakua,bila :kujiremba" haolewi ng'o
Huyu anaweza kuiona kesho wallahView attachment 861514
Kila mila ina ufafanuzi wake kuhusu neno "Urembo"
View attachment 861773
Hata sisi waafrika baadhi yetu tuliwa tunavutiwa na "urembo" wa aina yake kama huyu mwanamke wa kimakonde huko Songea 1959.