Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaviuza au?Kwa nini usiweke bei wazi ili kama mtu anahitaji na ana
Ndiyo bei ni chini ya makadirio ya muandishiMkuu unaviuza au?Kwa nini usiweke bei wazi ili kama mtu anahitaji na anapungukiwa ndio muongee DM?
Leseni ya kufungulia maabara pia inapatikanaShukran sana
Kwa mwenye uhitaji wa vifaa tajwa chini ya bei ya makadirio anidm
View attachment 2516359View attachment 2516360View attachment 2516361View attachment 2516362View attachment 2516364View attachment 2516365View attachment 2516366
Sasa si bora huyo anayekuombea uumwe kuliko anayekuombea ufe kabisa ili auze jeneza.Barikiwa sana, ila kazi yako kubwa itakua kuomba watu waugue ili ipate wateja, this life is fuvk.
Yaani mtu anaomba uugue ili aje apate hela.
Leseni inahitajika ya mtu aliyesoma maabara ili uweze kusajiliwaUnamaanisha nini kusema leseni ya kufungulia maabara inapatikana?Unauza leseni yako?
Asikudanganye mtu mkuu kwa siku unaweza ata usipate 3000 usipokuwa mjnja wakucheza na mamlaka uweke na kaduka ka dawa pembeni.[emoji3][emoji3],hongera kwanini unasema hivyo mkuu?
[emoji3]Aisee,biashara nayo ina changamoto, lakini si kuna siku zinakuwa nzuri unafidia?maana kuna mdau hapo juu kasema kwa siku mbaya hakosi 60,000 na kama siku hio ni nzuri 180,000 inamhusu ambapo kwa mwezi ni 2-3M.Asikudanganye mtu mkuu kwa siku unaweza ata usipate 3000 usipokuwa mjnja wakucheza na mamlaka uweke na kaduka ka dawa pembeni.
Inategemea na eneo lakin ila ukiingia na matarajio makubwa bila kusubri utakata tamaa mno , uwekazaji wake ni mkubwa kuliko faida , inatakiwa uchukuwe mda kwenye soko. Ukichanganya na dawa kiujanja unatoka fasta.[emoji3]Aisee,biashara nayo ina changamoto, lakini si kuna siku zinakuwa nzuri unafidia?maana kuna mdau hapo juu kasema kwa siku mbaya hakosi 60,000 na kama siku hio ni nzuri 180,000 inamhusu ambapo kwa mwezi ni 2-3M.
Ni kweli inatakiwa uvumilivu,uipe muda,na pia kama ilivyo biashara nyingine yeyote, eneo ilipo pia ndio itaamua mzunguko wa wateja,duka la dawa pia linachangamshaInategemea na eneo lakin ila ukiingia na matarajio makubwa bila kusubri utakata tamaa mno , uwekazaji wake ni mkubwa kuliko faida , inatakiwa uchukuwe mda kwenye soko. Ukichanganya na dawa kiujanja unatoka fasta.