Zitambue taratibu za Kufungua Maabara binafsi ya Afya na Makadirio ya Gharama zake

Barikiwa sana, ila kazi yako kubwa itakua kuomba watu waugue ili ipate wateja, this life is fuvk.

Yaani mtu anaomba uugue ili aje apate hela.
Sasa si bora huyo anayekuombea uumwe kuliko anayekuombea ufe kabisa ili auze jeneza.
 
Nina hii biashara mkuu ukiona kwa juu unaweza sema inapesa nyingi na utakua tajiri kesho [emoji23][emoji23]
 
Nina hii biashara mkuu ukiona kwa juu unaweza sema inapesa nyingi na utakua tajiri kesho [emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3],hongera kwanini unasema hivyo mkuu?
 
Asikudanganye mtu mkuu kwa siku unaweza ata usipate 3000 usipokuwa mjnja wakucheza na mamlaka uweke na kaduka ka dawa pembeni.
[emoji3]Aisee,biashara nayo ina changamoto, lakini si kuna siku zinakuwa nzuri unafidia?maana kuna mdau hapo juu kasema kwa siku mbaya hakosi 60,000 na kama siku hio ni nzuri 180,000 inamhusu ambapo kwa mwezi ni 2-3M.
 
[emoji3]Aisee,biashara nayo ina changamoto, lakini si kuna siku zinakuwa nzuri unafidia?maana kuna mdau hapo juu kasema kwa siku mbaya hakosi 60,000 na kama siku hio ni nzuri 180,000 inamhusu ambapo kwa mwezi ni 2-3M.
Inategemea na eneo lakin ila ukiingia na matarajio makubwa bila kusubri utakata tamaa mno , uwekazaji wake ni mkubwa kuliko faida , inatakiwa uchukuwe mda kwenye soko. Ukichanganya na dawa kiujanja unatoka fasta.
 
Inategemea na eneo lakin ila ukiingia na matarajio makubwa bila kusubri utakata tamaa mno , uwekazaji wake ni mkubwa kuliko faida , inatakiwa uchukuwe mda kwenye soko. Ukichanganya na dawa kiujanja unatoka fasta.
Ni kweli inatakiwa uvumilivu,uipe muda,na pia kama ilivyo biashara nyingine yeyote, eneo ilipo pia ndio itaamua mzunguko wa wateja,duka la dawa pia linachangamsha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…