Zitambue taratibu za Kufungua Maabara binafsi ya Afya na Makadirio ya Gharama zake

Barikiwa sana, ila kazi yako kubwa itakua kuomba watu waugue ili ipate wateja, this life is fuvk.

Yaani mtu anaomba uugue ili aje apate hela.
Haaahaa hamna haja saivi vijana mbona wanajimaliza wenyewe kwa lifestyle yao. mtu akipata uhakika wa kupata cha leo anajiachia wee na mipombe, mabaga, mademu...mtoto mdogo tu unakuta ana mtumbo huo km simtank
 
kazi nzuri ✅✅
 
Unaruhisiwa kuweka mashine za vipimo tofauti na hivyo ?
 
Haaahaa hamna haja saivi vijana mbona wanajimaliza wenyewe kwa lifestyle yao. mtu akipata uhakika wa kupata cha leo anajiachia wee na mipombe, mabaga, mademu...mtoto mdogo tu unakuta ana mtumbo huo km simtank
[emoji3][emoji3],Syphills,U.T.I na Gono kibao
 
Aiseh huu uzi ningeufuata mwanzoni nisingekufungua Maabara maana umeweka mtaji mkubwa Sana mkuu...Nipo Kijijini ila nimefungua kwanzia trh 1/2/2023 Aiseh hakika naenjoy Maisha ila mdau juu kasema uwe mjanja wa kucheza na mamlaka hakikisha dawa unazo za kutosha unatoboa vzr tu...Mimi nimefungua pasipo hizo taratibu ulizoziandika maana ningezungushwa Sana ...kwa siku sikosi 20000_40000....ila mamlaka ya wilaya DMO sahivi wanaijua Maabara yng... IPO KIJIJINI KABSA... Biashara nzuri Sana ya Maabara
 
Upo mkoa gani mkuu, nafikiri kuweka hii kitu moshi huko vijijini.....
 
Mkuu nikiwa na mil 13 kwa maeneo ya kijijini inatosha kujenga na kuweka vifaa?
Sina uhakika mkuu,kwa vigezo vya jengo linavyotakiwa kuwa na jinsi gharama za ujenzi zilivyo sasa,hebu fanya utafiti tu,shida hasa ipo kujua gharama ya jengo

Unaweza kutafuta fundi kutoka eneo unalotaka kujenga,halafu mueleze kiwango cha jengo unalotaka uone atakupa makadirio gani utapata picha halisi
 
Unamaanisha hujafuata taratibu za kufungua au vipi?
 
Hongera sana umetoa mchanganuo mzuri sana hata sisi tunaelewa.!
Kama hutojali naomba makadirio na mchanganuo wa kuanzisha Zahanati na kituo cha Afya.!
Mahali ni Dsm
 
Ndg kama hutajali naomba unielezee kwa mapana hili ikibidi hata inbox nikupigie.!
 
Hongera sana umetoa mchanganuo mzuri sana hata sisi tunaelewa.!
Kama hutojali naomba makadirio na mchanganuo wa kuanzisha Zahanati na kituo cha Afya.!
Mahali ni Dsm
Asante mkuu,kuhusu Zanahati na kituo cha Afya sina ufahamu navyo,labda tuombe wadau wazoefu wa hilo watusaidie
 
Ahsante mkuu mi nimefungua ila wakaguzi wanasumbua balaaha make incinerator sijajenga nipo karibu na nyumba ya DLT wa mkoa mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…