MwanaPekee
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 382
- 385
Kama alisaliti alistahili kukataliwa.
Tujifunze kuukubali ukweli mkuu.
Kwa kweli mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alisaliti alistahili kukataliwa.
Tujifunze kuukubali ukweli mkuu.
Well said man,pia membe ni usalama wa taifa.Anachokifanya membe ni well planned and organized ,amini nakuambia membe hajafukuzwa ccm bali kaja kuuvuruga upinzani na akimaliza kazi atarudi ccm na hawa jamaa wa usalama wa taifa huwa hawastaafu muda wote wapo kazini kwa mbinu tofautiZitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.
Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata
Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine
This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku
Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
Zitto anavizia uKUB. Mjanja kama Sungura yule bwanaSiasa ni science, siasa ni upepo. Angalia maslahi ya siasa ya sasa coalition ni tija kwa Chadema?
Alimuwahi Maalim akijua ameikamata Zanzibar na Pemba.Zitto anavizia uKUB. Mjanja kama Sungura yule bwana
Kwanza tangulini Zitto akawa opposition???Ha ha ha ha ha, Kachero Mbobezi amekuwa wa kawaida Tena kwakuwa this tym yuko aganisnt Nyinyi ha ha ha ha.
Kuna kitu hukioni mkuu, labda nikufumbue macho. Membe na Zitto wako serious na Membe hatanii, Wanaingia na miguu yote, Membe na Zitto rasmi wameamua kutengeneza opposition against CCM na this October Membe hagombei ili ashinde, Membe anagombea kutengeneza mtaji wa 2025 ambapo ataingia fully. Na kiukweli hapo wa 10 it obvious it's Act against CCM, huu ukweli hamuwezi kuubali, ukweli Mchungu Buda.
Mkuu mbona CDM ilimuwahi Lowasa kwa kutarajia itaingia ikulu. Jamani na Zitto nae anahitaji kujenga chama chake, mi namuunga mkono kama tu atatumia njia halali zisizo na mawaa.Alimuwahi Maalim akijua ameikamata Zanzibar na Pemba.
Zitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.
Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata
Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine
This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku
Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
This is Politics Buda, ni kama vile ambavyo CDM baada ya kuungwa mkono na vyama vingine na kupata kura nyingi na wabunge wa kutosha, Leo wanakula Ruzuku pekee yao.
Tatizo Zitto anataka wao ndiyo watoe mgombea wao Membe ambaye ni wakala wa ccm, huo ujinga hatuwezi kuurudia tena sisi kama cdmSiasa ndivyo ilivyo, japo Zitto nae haaminiki kutokana na aliyowahi kuyafanya siku za nyuma, binafsi naamini hata kama patakuwa na coalition kati ya Chadema na ACT but mgombea Urais wa Tanzania Bara lazima awe mpinzani, alielelewa upinzani.
Umeanza kufatilia lini siasa mkuu ? unashangaa vitu vya kawaida , wewe uliwai kuwaza kuwa Lowasa angekuwa mgombea wa Chadema tena Urais ? kwa namna walivyokuwa wakimchafua kila siku tuliza kichwa siasa sio lelemamaZitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.
Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata
Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine
This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku
Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
Siasa ni science, siasa ni upepo. Angalia maslahi ya siasa ya sasa coalition ni tija kwa Chadema?
Hiyo ndiyo akili ya sungura aliyo nayo Zitto, lkn safari hii cdm hatukubali ujinga huo.ACT wanamtaka Membe jomba, na ndio maana Zitto anapigana kwa nguvu zote kuwa na coalition ili mgombea wao aungwe mkono na wengine.
Hivyo vyama wakati vinaingia makubaliano wa kuunda UKAWA na Chadema vilijiamini vinauwezo wa kushinda majimboni, hivyo kama wangeshinda nao wangekuwa na ruzuku zao, kuwalaumu Chadema kwa hili huwatendei haki.
Na kwa upepo wa sasa ACT wanaenda kuunda Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni japo ni habari chungu kwa Chadema...Ni swala la muda tu ja
Ni kweli, lakini Idadi ya Kura kilizopata chama kupitia Mgombea urais kwa kiasi kikubwa ndizo huamua kiasi Cha Ruzuku Buda. Kubalini this tym Zitto kawashika pabaya, Muungane aweke Mgombea Urais nyie muweke wabunge, ale Ruzuku nyie mbaki na Kambi rasmi ya upinzani au mkutane uwanjani yeye akiwa na Membe nyie mkiwa na Nyalandu, mengine yafahamike mbele kwa mbele!
Mnatengeneza fitina tu, zitto anatembea na Halima Bulembo sasa mambo yakuimaliza ccm ni uongo ,naomba Act ibaki kama cuf tu.