Uchaguzi 2020 Zitto 2015 ulikataa UKAWA, why leo utake Coalition?

Uchaguzi 2020 Zitto 2015 ulikataa UKAWA, why leo utake Coalition?

Huwa haaminiki huyu, maslahi yake binafsi ndio kipaumbele chake.
 
We
Zitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.

Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata

Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine

This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku

Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
Well said man,pia membe ni usalama wa taifa.Anachokifanya membe ni well planned and organized ,amini nakuambia membe hajafukuzwa ccm bali kaja kuuvuruga upinzani na akimaliza kazi atarudi ccm na hawa jamaa wa usalama wa taifa huwa hawastaafu muda wote wapo kazini kwa mbinu tofauti
 
Ha ha ha ha ha, Kachero Mbobezi amekuwa wa kawaida Tena kwakuwa this tym yuko aganisnt Nyinyi ha ha ha ha.
Kuna kitu hukioni mkuu, labda nikufumbue macho. Membe na Zitto wako serious na Membe hatanii, Wanaingia na miguu yote, Membe na Zitto rasmi wameamua kutengeneza opposition against CCM na this October Membe hagombei ili ashinde, Membe anagombea kutengeneza mtaji wa 2025 ambapo ataingia fully. Na kiukweli hapo wa 10 it obvious it's Act against CCM, huu ukweli hamuwezi kuubali, ukweli Mchungu Buda.
Kwanza tangulini Zitto akawa opposition???
Stop rubbish Kaka chadema know everything na jinsi ya kucheza solo la Zitto na Act yake
 
Nakuunga mkono mkuu kuwa Zitto ni mbinafsi mkuu na mpenda vya wenzake viwe vyake na vyake abakie navyo
Zitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.

Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata

Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine

This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku

Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
 
Kosa siyo kufanya kosa bali ni kurudia kosa, hivyo this time sisi kama cdm tunasimama kivyetu na hao mawakala wa ccm wasimame na ccm yao
This is Politics Buda, ni kama vile ambavyo CDM baada ya kuungwa mkono na vyama vingine na kupata kura nyingi na wabunge wa kutosha, Leo wanakula Ruzuku pekee yao.
 
Siasa ndivyo ilivyo, japo Zitto nae haaminiki kutokana na aliyowahi kuyafanya siku za nyuma, binafsi naamini hata kama patakuwa na coalition kati ya Chadema na ACT but mgombea Urais wa Tanzania Bara lazima awe mpinzani, alielelewa upinzani.
Tatizo Zitto anataka wao ndiyo watoe mgombea wao Membe ambaye ni wakala wa ccm, huo ujinga hatuwezi kuurudia tena sisi kama cdm
 
Zitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.

Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata

Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine

This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku

Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
Umeanza kufatilia lini siasa mkuu ? unashangaa vitu vya kawaida , wewe uliwai kuwaza kuwa Lowasa angekuwa mgombea wa Chadema tena Urais ? kwa namna walivyokuwa wakimchafua kila siku tuliza kichwa siasa sio lelemama
 
Pamoja na yote membe hawezi kusimamishwa km mgombea.....

Hapa ni Tundu Lissu tu.....FULL STOP
 
ACT wanamtaka Membe jomba, na ndio maana Zitto anapigana kwa nguvu zote kuwa na coalition ili mgombea wao aungwe mkono na wengine.
Hiyo ndiyo akili ya sungura aliyo nayo Zitto, lkn safari hii cdm hatukubali ujinga huo.

Tuna base mzuri ya wapiga kura, wakati hiyo ACT yenyewe haina kitu kama hicho
 
Upo sahihi mkuu, sasa hivi wanasema hayo kwakuwa tayari wamekosa walicho kusudia
Hivyo vyama wakati vinaingia makubaliano wa kuunda UKAWA na Chadema vilijiamini vinauwezo wa kushinda majimboni, hivyo kama wangeshinda nao wangekuwa na ruzuku zao, kuwalaumu Chadema kwa hili huwatendei haki.
 
Haina tatizo kama wanajiamini ndiyo mafanikio yao, waendelee tu.

Wana cdm nasi tutacheza karata zetu na mungu akitujalia chochote tutashukuru.
Na kwa upepo wa sasa ACT wanaenda kuunda Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni japo ni habari chungu kwa Chadema...Ni swala la muda tu ja
 
Zitto yupo huru kuwaomba kina TLP, NCCR, CUF ya Lipumba na Ccm waungane
Ni kweli, lakini Idadi ya Kura kilizopata chama kupitia Mgombea urais kwa kiasi kikubwa ndizo huamua kiasi Cha Ruzuku Buda. Kubalini this tym Zitto kawashika pabaya, Muungane aweke Mgombea Urais nyie muweke wabunge, ale Ruzuku nyie mbaki na Kambi rasmi ya upinzani au mkutane uwanjani yeye akiwa na Membe nyie mkiwa na Nyalandu, mengine yafahamike mbele kwa mbele!
 
Back
Top Bottom