Uchaguzi 2020 Zitto 2015 ulikataa UKAWA, why leo utake Coalition?

Uchaguzi 2020 Zitto 2015 ulikataa UKAWA, why leo utake Coalition?

Sasa amerudia njiani wakati tayari kesha ingia tanzania, kanusa nini tena wakati tulisha fanya mpaka na tafrija ya kuiaga corona? [emoji23][emoji23]
Hao ni watani zetu acha ageuze tu...hujamsikia Uhuru akitupiga dongo kuwa Kenya haiwezi kuficha visa vya korona sababu ni ya kidemokrasia na Ina Uhuru wa Vyombo vya habari.
 
Aisee tuna hali ngumu sana kama taifa kwa kukosa jirani
Hao ni watani zetu acha ageuze tu...hujamsikia Uhuru akitupiga dongo kuwa Kenya haiwezi kuficha visa vya korona sababu ni ya kidemokrasia na Ina Uhuru wa Vyombo vya habari.
 
Siasa kwa wapinzani haina rafiki wala adui wa kudumu. Ndo maana Lowassa aligombea urais kupitia Ukawa, Mende yuko zake Act, Nyalandu yuko Chadema ila waunga mkono juhudi wamekumbana na wajumbe wakaambiwa noo, stop sisi ukishaenda upinzani ni adui wa kudumu
 
Back
Top Bottom