Labda ACT wataunda kambi ya kula wali maharage,lkn kambi rasmi ya upinzani hio ni dhahania tu.
CDM wana wagombea wao; kama Membe anataka aende CDM then wamfikirie...
Siioni mantiki ya CDM kuugana na mgombea urais wa ACT chama kilichokuwa ba mbunge mmoja bara...hilo litakuwa ni kosa kubwa la kiufundi.
ACT bado ni chama kidogo sana.
Wakikubali huo upuuzi afadhali mtu kujikalia bila kuwa na chama cha siasaKweli kabisa mkuu,itakua ni ujinga 1st class huo.
Act ilikuwa changa ingeingia ukawa wasingeweza kupewa nafas hata 5 za kusimika wabunge achana na udiwani..ilikuwa lzm aijenge chama kila mkoa na jimbo na sasa act imepata kuonekana bila hivyo act ingekuwa kama chauma mpk now 2020 isingekuwa na impact yeyote..chama kimeundwa 2014 halafu 2015 ajiingize ukawa imezwe 2015 zittto alitaka exposure tu ya chama chake alikuwa anakijenga kwaajili ya 2015
Kuna watu siasa na hata logic ndogo ya siasa hamuijui ..kaazi kweri kweri aise tuna safari ndefu sana
Sasa kama mnajiona mpo juu zaidi ya cdm basi endeleeni na mipango yenu nasi cdm tutafanya yetu kivyetu vyetu kuliko kushirikiana na wasaliti kama nyinyi vibaraka wa ccmShida ya CHADEMA ni kudhani wao tu ndio wanastahili kuliko wengine! Afadhali CCM mara 100 kuliko CHADEMA hii ya kibaguzi!
Siasa ndivyo ilivyo, japo Zitto nae haaminiki kutokana na aliyowahi kuyafanya siku za nyuma, binafsi naamini hata kama patakuwa na coalition kati ya Chadema na ACT but mgombea Urais wa Tanzania Bara lazima awe mpinzani, alielelewa upinzani.
ACT wanaweza kupata wabunge toka visiwani ambako ndiyo kuna mizizi ya chama. Na visiwani wananchi wanajua namna ya kudai haki zao kwa kupiga kura na kuzilinda. Pamoja na kwamba kuna Jecha no.2 lkn bado watapambana.
Chadema ngome yake kuu ni bara. Bara wananchi wapo doro. Ukichanganya na figisu zilizoandaliwa mambo yanakua mabya zaidi.
"Chadema hii ikipata wabunge 3 sijui" ----Ndugai.
Kamanda umeandika kinyonge kweli....Japo hivi ndio inavyotakiwa kujiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kuwa na mihemuko pale unapopata kile usichotarajia..Haina tatizo kama wanajiamini ndiyo mafanikio yao, waendelee tu.
Wana cdm nasi tutacheza karata zetu na mungu akitujalia chochote tutashukuru.
Ila sebene 2015 nazikumbuka vizuri,Ukawa ndio iliyomkataa zitto.
Hii sayansi naona hawaielewi, acha wasuburi October.
Ha ha ha ha ha, Kachero Mbobezi amekuwa wa kawaida Tena kwakuwa this tym yuko aganisnt Nyinyi ha ha ha ha.
Kuna kitu hukioni mkuu, labda nikufumbue macho. Membe na Zitto wako serious na Membe hatanii, Wanaingia na miguu yote, Membe na Zitto rasmi wameamua kutengeneza opposition against CCM na this October Membe hagombei ili ashinde, Membe anagombea kutengeneza mtaji wa 2025 ambapo ataingia fully. Na kiukweli hapo wa 10 it obvious it's Act against CCM, huu ukweli hamuwezi kuubali, ukweli Mchungu Buda.
Hakuna namna, hii ndiyo hali halisiKamanda umeandika kinyonge kweli....Japo hivi ndio inavyotakiwa kujiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kuwa na mihemuko pale unapopata kile usichotarajia..
Kamanda umeandika kinyonge kweli....Japo hivi ndio inavyotakiwa kujiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kuwa na mihemuko pale unapopata kile usichotarajia..
Ulitaka wale na mamakoThis is Politics Buda, ni kama vile ambavyo CDM baada ya kuungwa mkono na vyama vingine na kupata kura nyingi na wabunge wa kutosha, Leo wanakula Ruzuku pekee yao.
Mimi sio kada wa Mbogamboga...Ila naamini janga la Corona ni sababu tosha.Shida yangu na mshangao ni kutomuona m7, wala Kagame na Uhuru pale to taifa, kulikoni kada wa ccm? Ebu tujuze kidogo
Ni bora kutoungana kuliko kuungana unless lissu ndo agombeeACT wanamtaka Membe jomba, na ndio maana Zitto anapigana kwa nguvu zote kuwa na coalition ili mgombea wao aungwe mkono na wengine.
Nguruwe bhanaShida ya CHADEMA ni kudhani wao tu ndio wanastahili kuliko wengine! Afadhali CCM mara 100 kuliko CHADEMA hii ya kibaguzi!
Mimi sio kada wa Mbogamboga...Ila naamini janga la Corona ni sababu tosha.
Ndio maana hata mwakilishi wa Uhuru Kenyata toka Kenya amerudia angani Monduli akisingizia hali ya hewa.
Nadhani salamu za rambi rambi zinatosha Sana.