slaymnguzo
Member
- Jan 2, 2014
- 20
- 1
Mbowe ni mwizi tu,
Tena wizi ameanzia bot.
Angalia hata midomo yake imekaa kilaghai laghai tu.
Nawashangaa huu ujasiri wa kuwafukuza wenzie kwenye chama
anaupata wapi.
Mkuu, yaelekea ndivyo ilivyo. Hawa watu wanajuana na wote wanajijua kuwa si wasafiJe! ni dakika ya ukimwaga Mboga namwaga Ugali?
Mkuu, mimi situmiki na sipo kijiweni kama vijana wa bavicha hapo Kinondoni. Pole sana Mkuu. Usijilinganishe na mimi vile ulivyoumetumwa wewe sio bure, jitahidi maana ajira yako itakoma sio muda, watu katu kama nyinyi ni mzigo kwa taifa, fanya kazi halali kijana, acha kutumika vibaya, mwisho wa siku watakutema ukiwa na hali mbaya.
Mkuu, nimeuliza nani ni msafi ndani ya chadema wewe unaanza kuleta porojouchafu wa baadhi ya viongozi wa cdm hakuifanyi wala hakutaifanya ccm kuwa safi..
CHADEMA hakifanyi kazi kwa maelekezo ya wahuni na majangili. Hakiendeshwi kwa remote.
nakushukuru sana mkuu. Hakika chama makini hakiwezi kuwa na viongozi wa aina ya dr slaa ambao wanafikia hata kuhalalisha gongo
Tumieni huu mda vizuri kuijadili CDM. Kesho tu tukianza bunge la katiba mtasahaulika...
Tehetehetehe, Mkuu, yawezekana ndo maana wameshinda kujenga ofisi pengine wanatafuta location ambayo itaendana na shughuli zao. Utakuwa umewasaidia sana. Natumai utawapa msaada wa kuwatafutia kiwanja mahala hapomakao makuu wahamishie kule uwanja wa fisi, manzese , Mbowe, kunamfaa na tangazo lake la gongo