Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
u
Mbowe ni mwizi tu,
Tena wizi ameanzia bot.

Angalia hata midomo yake imekaa kilaghai laghai tu.

Nawashangaa huu ujasiri wa kuwafukuza wenzie kwenye chama
anaupata wapi.

ujasiri anapata toka kwa baba mkwe Mtei,chama ni mali yao na wanahatimiliki na cdm
 
umetumwa wewe sio bure, jitahidi maana ajira yako itakoma sio muda, watu katu kama nyinyi ni mzigo kwa taifa, fanya kazi halali kijana, acha kutumika vibaya, mwisho wa siku watakutema ukiwa na hali mbaya.
 
uchafu wa baadhi ya viongozi wa cdm hakuifanyi wala hakutaifanya ccm kuwa safi..
 
umetumwa wewe sio bure, jitahidi maana ajira yako itakoma sio muda, watu katu kama nyinyi ni mzigo kwa taifa, fanya kazi halali kijana, acha kutumika vibaya, mwisho wa siku watakutema ukiwa na hali mbaya.
Mkuu, mimi situmiki na sipo kijiweni kama vijana wa bavicha hapo Kinondoni. Pole sana Mkuu. Usijilinganishe na mimi vile ulivyo
 
zitto hamumuwezi hakutaka kuyaanika machafu ya mbowe,slaa alikua anawahehim sasa wao kupitia mawakala njaa,tundu wanamchafua ili anuke vipi yeye asijibu?tena wakamilishe kumfukuza atatoa mengi zaidi ambayo mtashangaa
 
nakushukuru sana mkuu. Hakika chama makini hakiwezi kuwa na viongozi wa aina ya dr slaa ambao wanafikia hata kuhalalisha gongo



makao makuu wahamishie kule uwanja wa fisi, manzese , Mbowe, kunamfaa na tangazo lake la gongo
 
Ukweli juu ya ufisadi na uchafu wa viongozi wa CDM SACCOS utaendelea kudhihirika tu, Mh.ZZK endelea kutujuza!
 
Lizaboni hizi pesa za Pembe za Ndovu kutoka China zinawapeleka kubaya!
 
Tujadilki nini mambo CDM yako safi nyie ondokeni na mamluki wenu ZZK mkaanzishe chama chenu kama inawauma. Ktika safari ya ukombozi usaliti ni adui namba moja. Kinawawasha ni ni CDM kinawachukulia wanachama wake hatua za kinidhamu mnabaki mnahangaika hata hamfanyi shughuli nyingine yoyote. Kero za wananchi ziko kibao mnakaaa na issue ndogo kama ya Zito. Mtahangaika sana kuuona mwisho wa CDM kwani haiwezi kuanguka kabla ya haijawashughulikia ufisadi wenu ili wananchi wale matunda ya raslimali zao.
 
Mungu atamlaani huyu Makengeza amepewa pesa na mkono halafu anasema amekikopesha chama.Na urudishe nyumba ya NHC uliyoipa Bilcanas mbavu kabisa
 
makao makuu wahamishie kule uwanja wa fisi, manzese , Mbowe, kunamfaa na tangazo lake la gongo
Tehetehetehe, Mkuu, yawezekana ndo maana wameshinda kujenga ofisi pengine wanatafuta location ambayo itaendana na shughuli zao. Utakuwa umewasaidia sana. Natumai utawapa msaada wa kuwatafutia kiwanja mahala hapo
 
kumbe mzee Nimrod Mkono ni mchafu kwa rushwa kiasi hiki?, inawezekana kweli Mbowe alipewa mkwanja lakini je alikidhuru chama?

Lakini ni dhahiri Bwana mdogo wa Kigoma kaskazini amekitenda chama hata kama asingepokea mulungula.

Kitendo cha kupokea fedha na kukidhalilisha chama na vionozi ni dhahiri lengo ni kukiua chama hata kama ulishiriki kukiasisi.


UCHI WA AKILI NI MBAYA KULIKO UCHI WA MWILI.
 
Vijakazi wa Mbowe mjiandae kumsafisha Jamaa yenu maana ana lundo la kashfa la uzito wa tani moja.Let the game begin now!!
 
Back
Top Bottom